Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Nianze na ccm ccm imekuwa madarakani toka nchi hii ipate uhuru na tangu kipindi chote ccm imekuwepo madarakani imeshindwa kabisa kuwajibika ipasavyo kumaliza hata tatizo la maji na afya ambazo ndiyo msingi wa maisha ya binadamu badala yake kufanya ahadi hewa kila chaguzi zake.
Ccm tangu nchi ipate uhuru imeshindwa kabisa kusimamia rasilimali za taifa yakiwemo madini ili kuweza kuwanufaisha wazawa badala yake imekuwa ikiwathamini zaidi wageni kutoka ulaya na America kwa kuingia nao mikataba mibovu yenye hasara kwa taifa letu.wameshindwa kudhibiti mianya ya rushwa iliyopo ndani ya chama na serkali kwa ujumla wake.
Ccm wametufanya kuwa taifa la omba omba wakati vitu vya kutufanya tujitegemee tunavyo vingi Mungu ametujaalia kila aina ya vivutio lakini tunashindwa kuvitumia kutokana mfumo mbovu uliyosababishwa na ccm.miradi ya maendeleo haitekelezeki kwa asilimia 100 kwa sababu usimamizi mbovu unaofanywa na ccm wamepora viwanja vya wananchi na kuvifanya mali za chama kila mkoa ukienda utakuta uwanja wa ccm jiulize walivitoa wapi walinunua kwa nani.wananchi tumebaki kudanganywa kila kukicha wakulima hawaesabiki tena wanahaha pa kuuzia mazao yao leo ccm inavaa ngozi ya uzalendo huo uzalendo unatoka wapi?
Nije kwa upande wa chama cha demkrasia na maendeleo chadema.
Chadema ni chama ambacho hakijapata ridhaa ya kuweza kuongoza nchi lakini viongozi wake waliyo wengi wamekuwa mstari wa mbele kuona madhaifu yaliyopo serkalini na kuyafichua bila woga viongozi hawa wameibua ufisadi wa kila aina uliyopo serkalini wamekuwa wakipinga waziwazi ukiukwaji wa kanuni,sheria na taratibu zinazokiukwa katika taifa hili iwe za manunuzi yasitofuata utaratibu wa kisheria.
Nimeishia hapo kazi yako kutafakari nani mlaghai wa nchi hii ni yule anayeongoza au ambae hajawahi kupata ridhaa ya kuongoza kazi kwenu.
Ccm tangu nchi ipate uhuru imeshindwa kabisa kusimamia rasilimali za taifa yakiwemo madini ili kuweza kuwanufaisha wazawa badala yake imekuwa ikiwathamini zaidi wageni kutoka ulaya na America kwa kuingia nao mikataba mibovu yenye hasara kwa taifa letu.wameshindwa kudhibiti mianya ya rushwa iliyopo ndani ya chama na serkali kwa ujumla wake.
Ccm wametufanya kuwa taifa la omba omba wakati vitu vya kutufanya tujitegemee tunavyo vingi Mungu ametujaalia kila aina ya vivutio lakini tunashindwa kuvitumia kutokana mfumo mbovu uliyosababishwa na ccm.miradi ya maendeleo haitekelezeki kwa asilimia 100 kwa sababu usimamizi mbovu unaofanywa na ccm wamepora viwanja vya wananchi na kuvifanya mali za chama kila mkoa ukienda utakuta uwanja wa ccm jiulize walivitoa wapi walinunua kwa nani.wananchi tumebaki kudanganywa kila kukicha wakulima hawaesabiki tena wanahaha pa kuuzia mazao yao leo ccm inavaa ngozi ya uzalendo huo uzalendo unatoka wapi?
Nije kwa upande wa chama cha demkrasia na maendeleo chadema.
Chadema ni chama ambacho hakijapata ridhaa ya kuweza kuongoza nchi lakini viongozi wake waliyo wengi wamekuwa mstari wa mbele kuona madhaifu yaliyopo serkalini na kuyafichua bila woga viongozi hawa wameibua ufisadi wa kila aina uliyopo serkalini wamekuwa wakipinga waziwazi ukiukwaji wa kanuni,sheria na taratibu zinazokiukwa katika taifa hili iwe za manunuzi yasitofuata utaratibu wa kisheria.
Nimeishia hapo kazi yako kutafakari nani mlaghai wa nchi hii ni yule anayeongoza au ambae hajawahi kupata ridhaa ya kuongoza kazi kwenu.