faru john junior
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 1,596
- 1,717
Kama kale ka chumba anakuachia kwa 35m. Sasa 3m-5m za frem ndo zipi tena? Bado sijamwelewa huyu jamaaKhaaaaaa.
Kuniachia kale kachumba nikupe 35M?
Halafu nianze tena kodi? Mimi kama nimekufuata ukanitajia hivyo naweza nianguke kwa mshtuko.
Au nikucheke mpk nianguke.