Izizimba
Senior Member
- Jan 23, 2017
- 124
- 344
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nina classmate wangu ambaye ni marafiki sanaa,
Baba yao alijenga mjengo wa kupangisha biashara k.koo,
Alishafariki, yule jamaa ile family yao/watoto kila katikati ya mwezi wana uhakika wa 5M..
No wonder aliacha shule, watu wakasema sana ikiwemo walimu anachezea maisha, ila njemba mpaka leo ni bata tuu na hakuna mazingira ya hizo laana kumpata.
Kuna wazee waliwekeza banaaa,
Wengine bahati mbaya walipambana ila mambo tuu hayakua upande wao BIG up kwao pia.
Achana na waliokua wamelala asaivi wanaong'ang'ania ukali kumbe stress za njaa na madeni, kwa kupenda kufoka mpaka koo limekauka,
Unakuta mzee muda wote anaongea kama kapaliwa na ukoko,
Kidogo tuu anatishia laana, Bahati nzuri hazishiki, wangemaliza watu bila sababu, Anaweza aage anaenda kutafuta kumbe anawaachia msala wa madeni,