Kama ulipata bahati ya kushauriwa na wazazi basi hongr lkn wengine wazazi wao hawajaenda shule ndo yeye ameanzisha kwenda shule.Sasa hiyo si akili yako wewe unamlaumj nani?wewe na wazazi wako ndo mnaochagua usome nini,sasa unachaguliwa na mwingine au unalazimishwa? Hv waTanzania mna shida gani kichwani? Toka unasoma wewe na washauli wako hasa wazazi ndo wanakuchagulia na wewe unakubali,sasa shida na lawama ni kwa nani
Hili ni LA lazima mkuu..!!Serikali iweke somo la LIFESKILLS liwe compulsory kwa kila mtu anayepita chuo kwa kipindi chote anachokua chuo ili waweze kujifunza
Focus and Self-Control. Children need this skill to achieve goals
Perspective Taking
Communicating
Making Connections
Critical Thinking.
Taking on Challenges.
Self-Directed, Engaged Learning.
+Money savings
+Time management
+Entrepreneurial skills
+selling
Pamoja na mtu kuwa na profession yake ili aweze kuwa na plan B ni lazima awe na ujuzi huo ambao wengi wanaukosa.
Doh!Sasa hiyo si akili yako wewe unamlaumj nani?wewe na wazazi wako ndo mnaochagua usome nini,sasa unachaguliwa na mwingine au unalazimishwa? Hv waTanzania mna shida gani kichwani? Toka unasoma wewe na washauli wako hasa wazazi ndo wanakuchagulia na wewe unakubali,sasa shida na lawama ni kwa nani
Ndo ujue kusoma ni kupanua mawazo tu na si kupata pesa,tambua ya kwamba kazi si lazima iendane na ulichosoma,wanaofanya kazi inayoendana na elimu yao ni wachache na hazipo office za kuajilii wote hao,serikali na nchi zote duniani watu wamesoma lakini wanaendesha mambo yao mengine kabisa,na haipi serikali yoyote itakayo ingilia mamlaka ya MUNGU aliyo mpa mwanadamu kua kwa jasho la uso wake atakula,then ije serikali ikulishe au ikuoe kirahisi eti kwa sababu mlisoma,ondoeni fikra mfu za kua ulisoma unapaswa kuishi vzr,waingereza mliwasikiliza sana na hii elimu iliyo jaa misingi ya kigeni na sasa mnahangaika huku mkiwa mmepoteza pesa na kupewa karatasi na fikra za kujiita boss.