Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,005
Unaandika huku unaona aibu kwa uchafu unaouficha .Mashitaka yatakuwa mengi sana, ambayo ni:-
(i). Kujenga barabara za lami nchi nzima,
(ii). Kutia saini ujenzi wa daraja la Mwanza - Busisi,
(iii). Kudhibiti Mishahara hewa na watumishi hewa,
(iv). Kujenga viwanja vya ndege,
(v). Duu, makosa ni mengi hata kuyataja ni vigumu kweli