mwalukuni mchanyato
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 401
- 220
Jamani,watanzania wenzangu.Naomba mwa yeyote anayeweza kutamka kubwa anawajua wapiga dili katika kuhujumu ustawi wa uchumi wa nchi na Kukwamisha auvkutaka kudumaza malengo ya nchi.
Mm najisikia vibaya na huhisi nchi bado si salama sana kutokana na watu wanaoturudisha nyuma wanajulikana kisha na viongozi wa juu lakini hakuna hatua stahiki zinazochikuliwa badala yake tunasema tunawajua tu.
Jamani hii Tanzania ni yetu wote,kali nyengine zinatuumiza na kitukwaza zinapotolewa ilhali utekelezaji juu ya hilo ni sifuri.
Tafadhali mlosema wapo muwawajibishe tafadhali.
Mm najisikia vibaya na huhisi nchi bado si salama sana kutokana na watu wanaoturudisha nyuma wanajulikana kisha na viongozi wa juu lakini hakuna hatua stahiki zinazochikuliwa badala yake tunasema tunawajua tu.
Jamani hii Tanzania ni yetu wote,kali nyengine zinatuumiza na kitukwaza zinapotolewa ilhali utekelezaji juu ya hilo ni sifuri.
Tafadhali mlosema wapo muwawajibishe tafadhali.