Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,293
- 8,204
Kwa nilichokuja kugundua ni kwamba kodi nyingi sasa zinatokea kwenye miamala ya simu tunayotuma na kupokea.
Kwa njia hiyo inamaanisha kwamba zikijikata tu zinaingia, moja kwa moja kwenye akaunti ya kodi hivyo automatically zinajihesabu zenyewe. π π π π π π π Sasa kama mambo mazuri ndio hayo nilikua nawaza na kuwazua hapa.
Hivi kama kodi zinajikata zenyewe kwa njia ya mitandao na kujihesabu kuna haja ya kujaza watu wa kodi maofisini.
Yaani hamjanielewa, ni kwamba hivi kunahaja ya kuweka watu wa hesabu ili kuhakiki hizo hesabu wakati zinajikata zenyewe automatically. π π π π π π π π π π π
Napenda maswali ya kejeli.
Kwa njia hiyo inamaanisha kwamba zikijikata tu zinaingia, moja kwa moja kwenye akaunti ya kodi hivyo automatically zinajihesabu zenyewe. π π π π π π π Sasa kama mambo mazuri ndio hayo nilikua nawaza na kuwazua hapa.
Hivi kama kodi zinajikata zenyewe kwa njia ya mitandao na kujihesabu kuna haja ya kujaza watu wa kodi maofisini.
Yaani hamjanielewa, ni kwamba hivi kunahaja ya kuweka watu wa hesabu ili kuhakiki hizo hesabu wakati zinajikata zenyewe automatically. π π π π π π π π π π π
Napenda maswali ya kejeli.