Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Canta Asprin hafai kwa malezi ya wajukuu lolWizara ya ukaguzi na utakasishaji wa wajukuuz
Atawaharibu hadi mshangae lol
Yale yale ya Lulu
Canta Asprin hafai kwa malezi ya wajukuu lolWizara ya ukaguzi na utakasishaji wa wajukuuz
ungefaa sana kuwa waziri wa 'utalii na mali asili'
Chit chat Rahaaaa sana!!!Lol mi nilihamia Jukwaa la Matangazo....
Ila Chit Chat ni nomaaaa
Hahahahaaa sasa nikiwa mimi mbona FirstLady yupo tayari?Kwa hiyo nani kawa prezidaa, nataka kujua kabisa kama nimeshakuwa first lady ama vipi, nikaanze kushonesha mie viwalo vya ufunguzi wa mashule nikanunue na mkasi wa kukata utepe,maana ndio naona kazi za ma 1st lady wetu hizo
hahahah!
unafaa kuja kuwa mshauri wangu wa mambo ya kiutawala.
Kuna siku nilikuona jukwaa fulani lolChit chat Rahaaaa sana!!!
Kule matangazo .... hua naenda kupata news!
Then anelekea jokes kule naweka afya yangu sawa then narudi chit chat!
Wewe labda ukawe balozi wa JF yetu kule FB maana huwa unapotea sanaNa mimi...ila sijui wizara gan ingenifaa zaidi!
Hahahaha mamndenyi wewe! Ujue ODM ana nidhamu sana akiwa ofisini sema ana mikwara mingi.. Akitaka kuleta uchokozi namwitia asali yake kongosho..
Ehee!umpelekee nyumbani asije tafuta ujiko
kwenye nyumba ndogo kwa samaki wa kupewa.
hebu imagine JF ingekuwa ndo serikali ni nani anastahili kuwa prezdaa, makamu wake, prime minister, spika, waziri wa fedha, ulinzi?
Karibun wadau
Ehee!
Ok got u!
Kwan hujuagi km ODM ndie mkaguzi mkuu wa wajukuu mabint humu JF?Canta Asprin hafai kwa malezi ya wajukuu lol
Atawaharibu hadi mshangae lol
Yale yale ya Lulu
Hahahaha ndio maana nimeuliza, waliochaguliwa wameamua yupi ili nijue kama la aziz kawa prezdaaa not you banaHahahahaaa sasa nikiwa mimi mbona FirstLady yupo tayari?
Inabidi uombe sana apate bachelor
Hahahahaaa ukaguzi wake una utata sana eeeeeehKwan hujuagi km ODM ndie mkaguzi mkuu wa wajukuu mabint humu JF?
Na ukaguzi wake mmmmh!
Hahahahaaaaa ila Amy anapewa wizara so sijui itakuwaje kwenye nafasi ya u Firstlady.....Hahahaha ndio maana nimeuliza, waliochaguliwa wameamua yupi ili nijue kama la aziz kawa prezdaaa not you bana
Wizara ya Mambo ya Nje awe Excellent.
Awapi cha mchaha km kawa,Teh ila siku hizi mumeo kabanwa sana jukwaa fulani hadi hakukumbuki cha mchana
Lol pole sana shem