Hivi kabla ya kugunduliwa kwa ma- ‘speaker’ makubwa yenye mshindo, makanisa ya kilokole yalijiendeshaje?

Yaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?

Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Nilihama kodi mbichi sababu za kelele usku kucha kwenda kusema m kiti wa taa kaitwa mchungaji kasema mapepo nkaamua kusepa zangu imagine unashtushwa na speaker saa sita usku saut kubwa Sana mpaka asubuh dah ni kazi Sana
 
Tuongee kiukweli wa Mungu,sisi wakristo wa kizazi kipya (walokole) tuna hemka sana. Waislamu ni wastaarabu sana,nimepakana na mskiti sipati kero yoyote. Turudi kwetu sasa,kuna makanisa mawili umbali wa mita 600 njia ya Kibwegere,kanisa lingine mita 200 na lingine mita700 njia panda Kibamba,yote yamefunga maspika makubwa,wanashindana wao kwa wao kufungulia. Ni kero...
Tubadilike,maombi ni ya sirini...
Na wale wa usiku wasaa 10 wanao ita amukaaa amukaaa swalaaa swalaaa kumekuchaaaa kumekuchaàaa,walikuwa nafanyaje kabla ya hivyo vipaza sauti!
 
Swali lako lina mantiki kabisa ila wafia dini hawatakuvumilia hata kidogo japo kelele za speaker ni kero sana kwa binadamu wengine hata wao waliopo kanisani wanapata madhara ya sound waves japo kwasasa hawatayaona
 
Yaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?

Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Walitumia makoromelo yao ipasavyo! Tena walikuwa louder kuliko hayo maspika ya kisasa! Those guys are dedicated bana. More than al queda, talabans and jihadists put together…
 
Kipindi flani niliishi singida, sasa kuna hilo kanisa wakawa wanafungulia recordings za mchana ikifika saa 8 usiku. Watu tukiwahi foleni za maji kipindi cha ukame alfajiri sana tunamkuta mchungaji yupo mwenyewe tuu na spika zake
 
Yaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?

Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Amosi 5:23
[23]Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu.
Take thou away from me the noise of thy songs; for I will not hear the melody of thy viols.
 
Na wale wa usiku wasaa 10 wanao ita amukaaa amukaaa swalaaa swalaaa kumekuchaaaa kumekuchaàaa,walikuwa nafanyaje kabla ya hivyo vipaza sauti!
Walikuwa wanasimama sehemu iliyoinuka na kuanza kuamsha watu kwa sauti. Pia muda huo wanaoamsha watu ndio muda ambao mwanadamu mwenye akili timamu, anapaswa kuamka kama atazingatia ibada, afya njema na maendeleo binafsi.
 
Kipindi flani niliishi singida, sasa kuna hilo kanisa wakawa wanafungulia recordings za mchana ikifika saa 8 usiku. Watu tukiwahi foleni za maji kipindi cha ukame alfajiri sana tunamkuta mchungaji yupo mwenyewe tuu na spika zake
Biashara matangazo
 
Back
Top Bottom