Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Last edited by a moderator:
kile ni kipaji adimu mkuu...! NDO MAANA WANAITWA WAIGIZAJI...!!
kama vile mtu safi anaweza akaigiza kama jambazi lenye roho mbaya ...lakini in reality he is not..! ITS NO BIG DEAL..!
Na anavyoigiza uzee tuje tukuulize wewe...........???jamani waulizeni wateja wa kila siku ya baa ya Ashura Macheni watawapa stori kwanini JOTI ghafla anapenda kuigiza kama DEM...alicheza na vijana wa TEMEKE
Huna lolote unachuki tu binafsi mbona wakuvanga anaigiza kama mama bere hujamsema? mbona hao futuhi wanigiza kama wanawake hujawasema? mbona bambo kuna comedy ameigiza kama mwamke hujamsema? na dhani hujui maana halisi ya neno UIGIZAJIuchafu