Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
hivi joti ni mwanaume kweli? au ndo hivyo tena kama wanavyosema mitaani wengi....jamani kwa wale ambao wako karibu naye, hivi tupeni story, manake kuna uvumi kuwa si riziki. kwa upande wangu, nilivyomwangalia jinsi anavyoigiza, nikaona hakika hata kama angekuwa riziki, ile kuigiza anaweza kuwa ameingiliwa na mapepo ya kutokuwa riziki...hivi mlishawai kumwona hata na mdada tu ameongozana naye auuuuu, vipi?
orijino comedi ni agent wa ccm na shetani. kitendo chao cha mwanaume kuigiza kama mwanamke hata mimi kinanikera kupita kiasi. wale wa FUTUHI wa star tv mbona wanaigiza safi tu? wao wananini? na wako sambamba na shehe yahya....msaidieni joti jamani nyie mlio kairbu naye....
orijino comedi ni agent wa ccm na shetani. kitendo chao cha mwanaume kuigiza kama mwanamke hata mimi kinanikera kupita kiasi. wale wa FUTUHI wa star tv mbona wanaigiza safi tu? wao wananini? na wako sambamba na shehe yahya....msaidieni joti jamani nyie mlio kairbu naye....