hakuna alichoongea zaidi ya porojo zake za kawaida na kuishia kulalamika na kuorodhesha matatizo bila suluhisho lolote! anasema anasikitishwa na ripoti ya CAG! Solution???anasikitishwa na wanaogeuza pesa za serikali kama ubani wa msibani suluhisho?? anasikitika na hali duni ya wafanyakazi solution??? ni mzee wa porojo tuu hana jipya!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.