Hivi Jino moja la Tembo ni shingapi?

Polite

JF-Expert Member
Apr 12, 2011
1,095
816
wakuu naomba mnipe bei manake naona wachina wanatupiga bao kwenye nchi yetu.hii n fursa sio ya wachina tu
 
Katika documentary moja ya BBC, ilidaiwa kwamba jozi moja ya meno inanunuliwa kati ya dola 3000 mpaka 5000 kutoka kwa wauzaji/majangili wa nchini. Jozi hiyo ikisafirishwa na kufika China inauzwa kwa dola 25,000.
 
Kama yamesagwa, kilo moja ni Kati ya dollar 2000-3000 na hio ni bei ya mtaani.
 
Vipi unalo tufanye dili faster? NiPM maana hapa akina Kinana Wako wengi
 
Katika documentary moja ya BBC, ilidaiwa kwamba jozi moja ya meno inanunuliwa kati ya dola 3000 mpaka 5000 kutoka kwa wauzaji/majangili wa nchini. Jozi hiyo ikisafirishwa na kufika China inauzwa kwa dola 25,000.

Dah! No wonder tembo wanateketezwa katika mbuga na hifadhi zetu.
 
Back
Top Bottom