Hivi jiji la DaresSalaam linashindwa wapi haya?

Hiyo 2 mpaka 6 achana nayo maana kujipa kazi ambayo ngumu na hatuiwezi ila kwenye usafi hakuna sababu ya kushindwa ndio jambo muhimu kuliko yote hayo mengine. Usafi ni kitu kianzie majumbani na kutafuta kampuni kweli yenye uwezo wa kuifanya hii kazi maana mwisho wa siku wanaoilipa ni wananchi serikali ni kuratibu tu hapo ndio tunatia huruma. Usafi ni jambo la wote na muhimu na linawezekana kabisa wala sio science ni nia ya dhati na sheria ziwekwe kwa wote baadae itakuwa tabia tu watu watazoea na hii sio Dar tu ni kote.


UMESEMA KWELI MKUU
 
Nani kakulalamikia kwamba hio number tatu ni kero kwa wakaz wa dar?
 
Usafi wa miji au sehemu zote ni jukumu la serikali, kwani watu wanalipa kodi ili wapate huduma zote.
Kweli kuna watu wachafu ambapo hata ukiweka skip bado watatupa pembeni, inatakiwa Environmental officers wamwagwe mjini na kuwapiga faini kubwa hata laki 5 kwa wanaotupa taka hovyo.
Lakini na serikali ijitahidi kuondoa kero
Kuhusu makahaba hili haliwezekani maana ni biashara ya zamani sana na ipo ipo bado
Upande wa mateja hao wataisha wenyewe
Vibaka hao wanapungua kwa kuwasweka ndani tu hawamaliziki
Sent from my SM-G570F using Tapatalk



NDIO MAANA NIMELETA PENDEKEZO WAADHIBIWE WALE VIONGOZ WA NYUMBA KUKIKUMI NA WATENDAJI WA KATA ZETU KWA UCHAFU
 
Wote hawa wapelekwe gerezani kwenda kulima na ili wakipata vipato huko wasaidie familia zao.
Au ikiwezekana adhabu ni kwenda kutumikishwa mashambani mwaka mzima wazalishe iwe kwenye mkonga au mashamba ya chai kikosi cha kuwakamata kiwe well trained .
Hoja yako ni nzuri, ila naona solution unazo-suggest zimejaa vitisho na ubabe, ambazo kwa uhalisia zimefeli kabisa kuleta majawabu.

Matatizo ya Jiji uliyotaja hapo juu ni matokeo ya kuwa na UONGOZI mbovu na wa hovyo, usikuwa na mipango na mikakati ya nini cha kufanya.


Uchafu wa jiji ni pamoja na ujenzi wa hovyo wa miundo mbinu ya barabara, maji na majengo mbalimbali, pia hakuna ushirika mkubwa wa kimkakati kati ya serikali za mitaa na idara nyingine za serikali kuu kama mipango miji, Dawasco, Tanroads, Tanesco n.k.
 
Hoja yako ni nzuri, ila naona solution unazo-suggest zimejaa vitisho na ubabe, ambazo kwa uhalisia zimefeli kabisa kuleta majawabu.

Matatizo ya Jiji uliyotaja hapo juu ni matokeo ya kuwa na UONGOZI mbovu na wa hovyo, usikuwa na mipango na mikakati ya nini cha kufanya.


Uchafu wa jiji ni pamoja na ujenzi wa hovyo wa miundo mbinu ya barabara, maji na majengo mbalimbali, pia hakuna ushirika mkubwa wa kimkakati kati ya serikali za mitaa na idara nyingine za serikali kuu kama mipango miji, Dawasco, Tanroads, Tanesco n.k.





Sasa tushauri nini kifanyike
 
Sasa tushauri nini kifanyike
Matatizo ya Jiji uliyotaja hapo juu ni matokeo ya kuwa na UONGOZI mbovu na wa hovyo, usikuwa na mipango na mikakati ya nini cha kufanya.

Uchafu wa jiji ni pamoja na ujenzi wa hovyo wa miundo mbinu ya barabara, maji na majengo mbalimbali, pia hakuna ushirika mkubwa wa kimkakati kati ya serikali za mitaa na idara nyingine za serikali kuu kama mipango miji, Dawasco, Tanroads, Tanesco n.k.
 
Matatizo ya Jiji uliyotaja hapo juu ni matokeo ya kuwa na UONGOZI mbovu na wa hovyo, usikuwa na mipango na mikakati ya nini cha kufanya.

Uchafu wa jiji ni pamoja na ujenzi wa hovyo wa miundo mbinu ya barabara, maji na majengo mbalimbali, pia hakuna ushirika mkubwa wa kimkakati kati ya serikali za mitaa na idara nyingine za serikali kuu kama mipango miji, Dawasco, Tanroads, Tanesco n.k.



SAWA MIMI NAKUBALIANA NA MAONI YAKO LAKINI SASA TOA ELIMU NINI KIFANYIKE
MFANO UCHAFU
MACHANGUDOA
VIBAKA
MASHOGA
MATEJA
 
SAWA MIMI NAKUBALIANA NA MAONI YAKO LAKINI SASA TOA ELIMU NINI KIFANYIKE
MFANO UCHAFU
MACHANGUDOA
VIBAKA
MASHOGA
MATEJA
Maoni yangu ya nini kifanyike yako hapo kwenye post yangu, soma vizuri.
 
Maoni yangu ya nini kifanyike yako hapo kwenye post yangu, soma vizuri.



Tayari imeshatokea kwamba watu wamejenga hovyo je wabomoe au nini kifanyike?

Tayari kuna gape kati ya watawala na watawaliwa kivipi fafanua?


Miundo mbinu ya umeme na maji inarekebishwa sasa je ushauri wako unakubaliana na hayo marekwbisho au nini ushauri wako? Acha kulalamika toa maoni ili wayafanyie kazi
 
Back
Top Bottom