STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
Wana Jamvi ni maoni yangu tu, hivi hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya? Maoni hayo tunakuwa tunayawakilisha kwenye tume sehemu mbali mbali punde inapofika. Hii itapelekea maoni yetu kufikiriwa na kuwekwa kwenye katiba mpya. Ni maoni tu, kama inawezekana, tuna wanasheria wengi sana humu tuchangie na watuandikie conclusion ya maoni yetu. Asanteni. Nawaomba tusilete U CCM na U CDM katika hili, TANZANIA NI YETU SOTE.