Hata dini hakuna ni vikundi vya upigagi tuMbona hata watu wa dini wanakiri uchawi upo, wewe unatumia kigezo gani kupinga?
Njoo kwanguAnaejua uchawi anifundishe uchawi classic
Msaidie kumuelimishaNjoo kwangu
Watusaidie majibuNina swali naongezea kuwa tunaambiwa uchawi unarithishwa je unarithishwa vip na anaerithishwa anajuaje kama tayari ana vitu na je anaupenda au haupendi je anaweza kuukataa au uchawi una utamu wake ukirithishwa tu huwezi kuuacha kwa hiyo ina maana mchawi anaweza tu kujistukia ni mchawi bila kupenda!!!?
NakujaNjoo kwangu
Hapa JF Kuna mada nyingi kuhusu watu wakieleza uzoefu wao juu ya mambo ya kichawi. Ni bahati mbaya zaidi sijawahi kuona hata mmoja akikiri kuwa yeye ni mchawi na akatuelimisha mengi kuhusu uchawi kama:-Uchawi na wachawi limekuwa ni tatizo kubwa katika jamii tangu kuwepo kwa Dunia. Watu wengi katika jamii wanapenda kujua mengi kuhusu uchawi maana kwa wengine ni jambo la kusadikika kutokana na usiri mkubwa juu ya uchawi na wachawi na mbinu zao, kusudio lao, kwamba uchawi ni dini, ushirika, Chama au ni muunganiko wa namna gani?
Hapa JF Kuna mada nyingi kuhusu watu wakieleza uzoefu wao juu ya mambo ya kichawi. Ni bahati mbaya zaidi sijawahi kuona hata mmoja akikiri kuwa yeye ni mchawi na akatuelimisha mengi kuhusu uchawi kama:-
1. Ni sababu gani inayoweza kufanya mtu ashambuliwe na wachawi au mchawi?
2. Kuna kinga yoyote ninayoweza kuchukua ili nisiadhibiwe na wachawi?
3. Uchawi ni zao la urithi, je wanaangalia sifa gani ya mtu wanaetaka kumrithisha katika familia?
4. Kuna uhusiano wa kirafiki au kiuadui kati ya wachawi na waganga wa jadi?
5. Ikiwa waganga wanatibu madhara ya uchawi ndio kusema waganga wa jadi wana maarifa zaidi ya wachawi?
Juu ya hayo ningeomba kwa faida ya wengi hapa JF kama sehemu ya kupata elimu ya jamii wajitokezee watu ambao ni wachawi bila hofu nikiamini vile wapo nyuma ya maandishi hawatapata athari zozote, kutusaidia kutoa elimu kubwa juu ya uchawi, wachawi, walengwa wa uchawi, waganga na Siri nyingine ambazo jamii ipo gizani juu ya uchawi.
Ahsanteni
KARIIBUUUU MADA INAHUSU KAKANdio nimefika hapa.. Nitarejea niweke kikao kabisa
Ninawasubiria waje.Unakuta mtoto anarithishwa au anabebwa kwenda kuroga sijui inakuwaje yaani.Watusaidie majibu
Huwezi kijua ni hadi uwe na nia ya kusoma chuoni hapoMkuu ubarikiwe kwa haya madini hiki chuo minaitwaje na kipo Temeke sehemu gani?