Hivi Jay Z hana Jina lake halisi.

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,833
155,780

Kisima hiki kilizinduliwa na Shawn Corey Carter alizindua kisima hiki,
lakini cha kushangaza badala ya kuandikwa jina lake halisi, limeandikwa jina ambalo hata kwenye passport yake halipo.
 

Kisima hiki kilizinduliwa na Shawn Corey Carter alizindua kisima hiki,
lakini cha kushangaza badala ya kuandikwa jina lake halisi, limeandikwa jina ambalo hata kwenye passport yake halipo.
Acha nishangae pamoja nawe......kaazi kweli kweli.
 
Kuna madhala kuandika jina hilo???? Mi naona poa tu, ili mradi wakazi wa mwananyamala wanapata maji...maisha yanaendelea!! Au likiandikwa jina lake halisi bomba litatoa maziwa??
 
Kuna madhala kuandika jina hilo???? Mi naona poa tu, ili mradi wakazi wa mwananyamala wanapata maji...maisha yanaendelea!! Au likiandikwa jina lake halisi bomba litatoa maziwa??

Mradi huo ungezinduliwa na Puff Daddy (wa enzi hizo) inamaana kila baada ya miaka kadhaa wangefuta jina la mgunduzi ku-reflect jina lake la kiusanii?? Jamani matumizi ya mabano kwenye sentensi yamekuwa magumu namna hii siku hizi?

Btw mkuu, hiyo issue ya bomba kutoa maziwa au maji mimi nadhani ni tofauti kabisa na swala linaloongelewa hapa, unless unataka kuwaziba tu midomo watu wasihoji.
 
ndo wabongo tulivyo uncle yani wanataka akumbukwe kwa jina hilo ambalo ni jepesi maana wangeandika jina lake halisi wabongo wangeharibu kabsa"shon korey kata"Shawn Corey Carter
 
ndo wabongo tulivyo uncle yani wanataka akumbukwe kwa jina hilo ambalo ni jepesi maana wangeandika jina lake halisi wabongo wangeharibu kabsa"shon korey kata"Shawn Corey Carter

Kweli Therengeti Mamushka unawajua wabongo walivyo.
sasa wa kutoka kwenye kabila ketu ndio wamezidi.
Salome wanaita Salume,
Francis wanaita Falanchisi,
Humphrey wanaita humpule,
Modesta wanaita Mondesta,
yaani raha kwelikweli
 
Hii ndo bongo uncle kila kitu short cut tu!watu hatutaki shida kabsa,kisa cha kujing'ata ulimi bure!buji buji watakuita bui bui!ah ah ah wakifikia hapo ntawachapa mm!Pearl wataita pele!
Kweli Therengeti Mamushka unawajua wabongo walivyo.
sasa wa kutoka kwenye kabila ketu ndio wamezidi.
Salome wanaita Salume,
Francis wanaita Falanchisi,
Humphrey wanaita humpule,
Modesta wanaita Mondesta,
yaani raha kwelikweli
 
Kweli Therengeti Mamushka unawajua wabongo walivyo.
sasa wa kutoka kwenye kabila ketu ndio wamezidi.
Salome wanaita Salume,
Francis wanaita Falanchisi,
Humphrey wanaita humpule,
Modesta wanaita Mondesta,
yaani raha kwelikweli
hahahah wewe ni kakaangu thi tumetoka kijiji kimoja bujibuji :)
 
Mradi huo ungezinduliwa na Puff Daddy (wa enzi hizo) inamaana kila baada ya miaka kadhaa wangefuta jina la mgunduzi ku-reflect jina lake la kiusanii?? Jamani matumizi ya mabano kwenye sentensi yamekuwa magumu namna hii siku hizi?

Btw mkuu, hiyo issue ya bomba kutoa maziwa au maji mimi nadhani ni tofauti kabisa na swala linaloongelewa hapa, unless unataka kuwaziba tu midomo watu wasihoji.

Point yangu inabaki palepale, jina is not a big deal kwa wakazi wa pale! Kama maji yanatoka, inatosha!! Ukiona ni issue sana mwambie Mwamvita Makamba akafute Jay Z na aweke Shawn Carter!!

Naomba niulize swali wakuu...hizi kuweka majina ya waliofungua miradi inasaidia nini? Pengine hapa ndo ninapo miss mantiki ya hoja yako!!
 
Point yangu inabaki palepale, jina is not a big deal kwa wakazi wa pale! Kama maji yanatoka, inatosha!! Ukiona ni issue sana mwambie Mwamvita Makamba akafute Jay Z na aweke Shawn Carter!!

Naomba niulize swali wakuu...hizi kuweka majina ya waliofungua miradi inasaidia nini? Pengine hapa ndo ninapo miss mantiki ya hoja yako!!
Inawezekana kabisaa...

Kwani pahali popote pale palipoandikwa "mradi huu ulizinduliwa na..." au "jengo hili lilizinduliwa na..." hakuna mantiki yoyote ile tena, maana wale walioamua kufanya hivyo watakuwa wameelekeza nguvu zao zaidi kwenye protokali za uzinduzi badala ya kujua iwapo 'maji yanatoka au hayatoki' au jengo 'lina madirisha na milango au halina'.
 
Inawezekana kabisaa...

Kwani pahali popote pale palipoandikwa "mradi huu ulizinduliwa na..." au "jengo hili lilizinduliwa na..." hakuna mantiki yoyote ile tena, maana wale walioamua kufanya hivyo watakuwa wameelekeza nguvu zao zaidi kwenye protokali za uzinduzi badala ya kujua iwapo 'maji yanatoka au hayatoki' au jengo 'lina madirisha na milango au halina'.

Umenigusa sana....binafsi nina mtizamo huo huo. Miradi mingi inatazamwa kisiasa zaidi kuliko ufanisi wa mradi wenyewe baada ya kuzinduliwa.

Ndo maana binafsi naona hakuna mantiki, nina mifano mingi ya miradi iliyozindulia na mh. rais na waziri mkuu mwaka 2008 & 2009 ambayo ni non performing na hakuna anayejali! Ukipita ukisoma jiwe la msingi unabaki kusikitika tu!!
 
J-Z anatoka USA kuja kuzindua mradi wa kisima cha maji mwananyamali ni mradi wa sh.ngapi? na kweli karne tunahitaji visima vya aina hii AU ni huduma hii kuwa karibu na watumiaji? VIONGOZI WAJIPANGE
 
Back
Top Bottom