Hivi jamani kwenye kutafuta kazi ni kwel GPA inazingatiwa?

Kuna baadhi ya kazi haitaji GPA kubwa...ni jinsi gani utahakikisha unawawekea mambo yao sawa yaende.

Ili kuna baadhi GPA ni muhimu.
 
Mkuu swali ni je Kichwani mwako una GPA ya ngapi?Unaweza kuwa GPA ya 4. lakini ubongo ukawa na GPA 1. na ukawa na paper GPA ya 1. na ubongo ukawa na GPA ya 5.

Kitu cha muhimu unapoomba kazi hakikisha unatengenzea CV inayoshawishi,Unaandika barua inayoshawishi na kama ukiitwa kwa interview una hahakikisha Unajiuza kadiri au zaidi ya uwezo wako.Hata hvyo GPA nzuri inaweza ongeza uwezekano wa wewe kupata au kukosa kazi kwa kutegemea fani,kampuni etc.

Nakutakia kila heri ila kwa GPA yako ya 2.5 mimi naweza kukuajiri kama unaweza kunishawishi kwama utaweza ku add value kwenye biashara yangu.Next time uliza hili swali kabla ya kuhitimu na sio baada ya kuhitimu kwani unakuwa umechelewa
Naona umemgeuka hapo mwishoni 😆
 
Back
Top Bottom