Hivi Jamani Katibu Mkuu Kiongozi Bw. Luhanjo si Amefikia Umri wa Kustaafu?

Gosbertgoodluck

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
2,855
401
Ndugu zangu wana JF,

Kuna tetesi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) Bw. Philemon Luhanjo amefikisha umri wa kustaafu. Kama ndivyo, mbona anaendelea na kazi tu? Au Rais ana madaraka ya kikatiba ya kuamua KMK wake aendelee kadri anavyoona inafaa? Tafadhali naomba wana JF hususan wajuzi na wataalam wa mambo haya wanifahamishe.
 
Gosbertgoodluck,
Hiyo SIYO tetesi ni KWELI. Yuko kwenye 2nd term ya muda wa nyongeza. Na mtarajiwa wa kiti chake ni Patrick wa Wizara ya Ardhi. Kuhusu Mamlaka ya Rais na ukomo wake hilo sijui nami nasubiri kuelimishwa
 
hi post ilitakiwa ikae kwenye jukwaa la siasa na si business and economic forum.

Mod ihamishe!!
 
Back
Top Bottom