Katika kozi ambazo ni kipaumbele katika kujiajiri hiyo naweza sema ipo ndani yake tena haihitaji mtaji mkubwa Sana labda katika uchakataji wa njia za kisasa pia misitu nayo ipo ya kutosha yenye nyuki wengi.Naomba kuuliza,
Bs in bee keeping science and technology
inaajira kwa sasa kweli???!! Na kama haina ajira, mtu anaweza kujiajiri baadae???!! Na kama issue ni possible, haitohitaji capital kubwa??!! Nawasilisha!
Hapo nimekupata!! Nashukuru kwa ufafanuzi!!Katika kozi ambazo ni kipaumbele katika kujiajiri hiyo naweza sema ipo ndani yake tena haihitaji mtaji mkubwa Sana labda katika uchakataji wa njia za kisasa pia misitu nayo ipo ya kutosha yenye nyuki wengi.
Kwa sababu jamii ya Sasa ni ya magonjwa ambayo wataalamu wa afya wanashauri tule asali kwa wingi kwahyo pia ufugaji wa nyuki watu wengi hasa vijana na wazee wamejikita katika ufugaji wa nyuki hili kujiingizia kipato na kujikwamua kiuchumi.
Pia wapo na kina mama nao hawajaachwa nyuma katika ujasiriamali wa ufugaji wa nyuki na uchakataji wa asali.