johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Nawasalimu kwa jina la JMT
Hivi katika utaratibu wa mahakama Jaji Kiongozi hawezi kusikiliza kesi?
Najua yuko Mtendaji mkuu wa mahakama ambaye ndiye msimamizi mkuu wa shughuli za kiutawala.
cc: Pascal Mayalla
Hivi katika utaratibu wa mahakama Jaji Kiongozi hawezi kusikiliza kesi?
Najua yuko Mtendaji mkuu wa mahakama ambaye ndiye msimamizi mkuu wa shughuli za kiutawala.
cc: Pascal Mayalla