Hivi Jack Pemba ni tapeli?

barabaraya18

Senior Member
Sep 18, 2006
106
8
Kwa sababu naona kaamua kuchukua hatua za AJABU kudeal na WAKUBWA serikalini, na hii inapelekea baadhi ya watu kujiuliza huyu mtu ni nani? na yuko pale Tanzania kwa faida ya nani? na je kisheria anaruhusiwa kuweka hizi detail wazi namna hii?

Kama hii kesi ikienda MAHAKAMANI nadhani its fair kwa wakili wa mtuhumiwa kuomba MISTRIAL kwani tayari keshahukumiwa kabla ya kesi kusikilizwa,vile vile huyu JACK PEMBA kwa hii spidi aliyokuja nayo inanifanya niseme kuwa serikali yetu imekuwa kama mtoto mdogo inaburuzwa LEFT & RIGHT na watu ambao kwa sababu wanapesa bas, hakuna nayezingatia kuwa tuna sheria zetu ambazo zinatakiwa kuheshimiwa,
Sasa naona kashawaweka mfukoni watu wa serikali sasa cha kujiuliza thsi this the new KAJUMULO?

Kwa mtu ambaye ni RAIA WA UINGEREZA najuliza hivi hata kibali cha kufanya kazi TANZANIA anacho? Je huko UK ni kawaida kuaanika wakabaya wako kwenye website yako kijinga jinga namna hii?
 
SHY

KAMA HUMJUI jack pemba ULIZA LAKINI SIYO unarukia vitu tuuu. Hoja ya msingi huulizi, whats next?

Hizi habari sijaziweka mimi bali ni huyo JACK PEMBA mwenyewe ndio kazibandika kwenye website yake
 
Kama huyu ni tapeli ashughulikiwe sasa hivi Tanzania bado hatuna dual citizenship.

SHY

Wacha watu wamwage vitu hapa wewe kama hufahamu kaa kimya.
 
namshangaa huyo SHY, Mimi sikuzote hawa watu wanarudi Bongo na MIJISIFA huwa najua they dont last long
 
JAKI PEMBA KAPOSTI HIZI E-MAIL KWENYE WESBITE YAKE:

------Original Message------
From: +255754689999
Sent Jun 15, 2007 6:17 AM
Subject: I have people in america...

I have people in america they are waiting from me and they are watching u came africa to take our diamond and gold free congo govment loking for u and roman
Sent via BlackBerry from T-Mobile




------Original Message------
From: +255754689999
Sent Jun 15, 2007 6:25 AM
Subject: We put u in website u...

We put u in website u will se ihave ua paspot copy and american magazine
Sent via BlackBerry from T-Mobile



kisha anaendelea kusema katika hiyo website yake kuwa:
This page is designed to show proof that a fraudulent deal took place in Tanzania. Although stories can be deceiving, the above pictures, documents and information clearly shows that the Tanzanian Businessman intentionally conned the 2 US companies. GSB has since stopped all operations in TZ until this matter is resolved! Why??? It is the right thing! Copy of GSB recent Memo of Understanding with National Sports Council is attached for all to see what GSB business is in US and globally. In an effort to improve Tanzanian economy as well as fund GSB projects, GSB invited global businessmen to Tanzania with the complete understanding that businesses would have to support GSB efforts. This corruption will hurt the Business sector of Tanzania as well as the youth of the country in their obtaining opportunities globally through sports. GSB has made it very clear that NO business will be done, until this matter is resolved.http://www.globalscoutingbureau.com/tz.htm


MHHHHH SASA SWALI KWA BWANA JACK PEMBA: HIVI HUKO UK NDIVYO MNAVYO RESOLVE TOFAUTIZENU ZA KIBIASHARA?
 
Ndio matatizo ya "Briefcase" wawekezaji hayo, still more to come...
 
HAKUNA kesi hapa, cha muhimu kwanza hyu JACK AFANYIWE uchunguzi kwani inawezekana ikawa yeye katoka UINGEREZA kuja kufanya UTAPELI wake TANZANIA halafu analeta ujanja wa kuposti PASPORTS ZA WENZIE KWENYE INTERNET9website yake)

Hii yote inaraise suspicion na intention ya huyu bwana JACK PEMBA ambaye ni rafiki wa karibu wa VIONGIZO WETU kuanzia kanali IDI KIPINGU mbaka waziri


Yaani nchi imefikia kufanya kama ganduro na watoto kama hawa basi tena
 
NINAVYOJUA MIMI NI KUWA HUYU NI MTOTO WA UPANGA NA ALIOA MZUNGU HUKO UK NA BAADA YA KUPATA VIJISENTI SASA HUYU AMEKUWA BALAA MJINI PALE,NA HUYO MICHUZI NDIO USISIKE KILA KUKICHA ALIZAMA AMPROMOTI ambayo hakuna ubala ila tatizo linakuja pale ANAPOTAKA KUKEMEA VYOMBO VYA SHERIA TANZANIA ETI HAVIFANYI KAZI ZAKE KWA KUAMUA KUWEZA MAPICHA YA PASIPORTS ZA WATU KWENYE INTERNET.

NADHANI KAMA POLISI WAMEMWEKA NDANI HUYU MUZAMIL WAMUACHIE FREE, NA INABIDI KIBAO KIGEUZWE KWA BWANA JACK PEMBA



IsaacPassport.jpg

KUTOKANA NA MAELEZO YA JACK PEMBA, HUYU BWANA NDIYO ALIYEMTAPELI
 
Can somebody please explain the WHOLE issue. kwasababu mimi hapa sielewi nani ni nani

Please
 
CMB

Nafikiri chanzo cha habari hii ni Michuzi Blog

Michuzi Blog wadau, bundi kalia kwenye kambi ya gsb ya ndugu yetu jack pemba ambapo kuna mtu anatuhumiwa kuingiza watu mjini. mie kiinglishi iz noti richebo na mjumbe hauwawi. fuatilia hiyo stori kwenye linki na ujumbe huu niliopokea sasa hivi

This man is a known con man. Proof of his business tactics are posted online at www.globalscoutingbureau.com/tz.htm . This man is still in business, and while he is, GSB will NOT do business in Tanzania. Therefore, the youth of Tanzania and the good businessmen and women of Tanzania will suffer.

HELP TANZANIA STOP CORRUPTION!

For verification or additional information, contact Col Iddi Kipingu at 0754365688 or Lufingo Mwambungu at 0754273321. Both of these men have been assisting GSB in resolving this situation.
 
Jinsi Jack Pemba alivyoposti hizi info kwenye website yake inaonyesha kuwa kuna walakini MKUBWA mno, sasa kwa nini asiwaachie Polisi wafanye kazi yao? Na kumhusisha IDDI KIPINGU NDI MBAYA ZAIDI. uKISIKIA WAWEKEZAJI ushwara NDIO HAWA
 
nIMEFANYA UCHUNGUZI KULE MICHUZI BLOG NIKAKUMBANA NA HUYA:

Jack Pemba, a known and self-confessed liar, a former drug dealer btn Tanzania and South Africa, also a former Kinondoni Muslim Secondary School student.

He uses his ability to speak good english to disguise his illiteracy and dubious dealings.

His English wife (who is the reason he became a British citizen and the source of his few theousand pounds he has) is looking after his baby while Jack is enjoying life with other women.

It is not clearly known how how he became involved in football affairs in England.

Ni mtu anayependa sifa sana na hujisifia kwa kila kitu alichonacho. Na siku zote anataka aonekane yeye ndiye zaidi kuanzia kwenye hela, mavazi, magari, perfume etc, plus looks which he's not blessed in that department.

ingawa wanasema elimu sio kitu, lakini nafikri kuishia form four Kinondoni Muslim kumechangia pia kumfanya awe na tabia fulani ya kutaka kujikweza asikoweza kufikia na kuwa mfinyu wa upeo kuona mbali, mfano uongo wa kuileta Serengeti Boys UK, na mikataba mingine, kwa ufupi haoni mbele, he's very myopic in his vision, interms of pledges he makes and its eventual consenquences.


http://issamichuzi.blogspot.com/2007/06/gsb.html#comments

JULIO.jpg
 
Mnauliza msuli unguja? au karafuu pemba? Utapeli wa Jack Pemba uko wazi kabisa. ni asili ya ukoo wao toka kwa nduguye ELIUD PEMBA na familia nzima.

huyu jamaa kawaibia sana watu kwenye zile deal za magari ya wizi X5 BMW. labda mheshimiwa Mbowe anaweza kutusaidia kwa hili.

nilipata kigugumizi kuona watu na heshima zao wanakubali kufanya deal na huyu pemba wa kimataifa. pemba hadi kwenye mitutu yumu.
 
kWANI LILE x5 NILISKIA KUWA YEYE NDIYE ALIYETAPELIWA AU?

Zaidi ya huu utapeli wake sasa hili la kutaka kutuharibia jina NCHI YETU hatuwezi kukaa kimya

Hivi huyo mkewe mzungu anajua kama KAMTIA MIMBA hawara wake huko bongo?
 
Zaidi ya hayo nasikia anakesi ya ATTEMPT MURDER huko UK, nasikia alitaka kuuua kijana wa KIPEMBA kwa Bastola, sasa sijui ukweli kwenye hili uko wapi ila nashauri WATAWAL wawe wanafanya background cjhecks na hawa watu kabla hawajaaanza kudeal nao
 
Back
Top Bottom