Hivi itawezekana kuitenganisha CCM na rushwa kweli? Nimemsikiliza PM akiwa Iringa na Dr Mpango pale PPRA nimechoka kabisa

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,722
141,582
Kuna wakati huwa nafarijika niwaonapo viongozi wa CCM wakiwa wamevalia sare za chama wakikagua utekelezaji wa ilani kwenye halmashauri na taasisi za serikali.

Niliamini wanafanya kazi ya maana....kumbe bure kabisa hamna lolote na inawexekana ziara zile huwa wanakwenda kuvuta mpunga tu.

Nimefuatilia ziara ya waziri mkuu mkoani Morogoro na Iringa kwa hakika madudu anayokutana nayo huko ni kana kwamba serikali hii haijaundwa na CCM. Na viongozi wa CCM wamejazana kuanzia ngazi ya wilaya hadi kijiji.

Leo tena nimemsikia waziri wa fedha Dr Mpango akiilalamikia management ya PPRA kwa kushindwa kusimamia vizuri manunuzi ya umma hali iliyopelekea upigaji kuendelea katika taasisi za serikali na baadhi ya halmashauri.

CCM inafeli wapi kwenye mapambano ya rushwa?!!

Kuna wakati kutokana na uozo kama huu huwa nakubaliana na mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila kwamba ni heri tungekuwa na Magufuli ruling party siye wengine tungejisajili huko

Maendeleo hayana vyama!
 
Hamna mapambano ya rushwa bali kuna marufuku ya vyombo vya habari kuripoti mambo ya rushwa ili kuhadaa umma kwamba rushwa imedhibitiwa. Ukiona serikali inajinasibu kupambana na rushwa huku haitaki uwazi na CAG anadhalilishwa na bunge, ujue hapo ni siasa chafu tu za visasi. Sisi wananchi tunaona ukweli wa rushwa na tunaona kabisa kinachohubiriwa na ccm/serikali kinakataana na ukweli. Hii ndio inayochangia Magufuli na ccm yake kunajisi box la kura, kwani wanajua wananchi wanajua ukweli. Rushwa haiwezi kumalizwa kwa propaganda za kisiasa.
 
Ndiyo maana nchi nyingi za Africa ni ngumu sana kutoboa kufikia level za nchi za Ulaya... Sababu ya kuliingizia hili taifa hasara kuna watu wanapiga hela sasa najiuliza TAKUKURU wanakwama wapi?

Kwanini inapobainika kuna madudu sehemu flani kwanini wasifanye overhoul ya Taasisi nzima na kuajiri wapya? Au kuwastaafisha kwa nguvu hata kama mtu ana miaka 40?
 
Kuna mtu aliamini anaweza kuongoza serikali peke yake yaani jeshi la mtu mmoja. .. mtaokea yake ndio haya.

Ngoja ije na ripoti ya CAG ndio utachoka kabisa japo wamembania bajeti.
 
Kuna wakati huwa nafarijika niwaonapo viongozi wa CCM wakiwa wamevalia sare za chama wakikagua utekelezaji wa ilani kwenye halmashauri na taasisi za serikali.

Niliamini wanafanya kazi ya maana....kumbe bure kabisa hamna lolote na inawexekana ziara zile huwa wanakwenda kuvuta mpunga tu.

Nimefuatilia ziara ya waziri mkuu mkoani Morogoro na Iringa kwa hakika madudu anayokutana nayo huko ni kana kwamba serikali hii haijaundwa na CCM. Na viongozi wa CCM wamejazana kuanzia ngazi ya wilaya hadi kijiji.

Leo tena nimemsikia waziri wa fedha Dr Mpango akiilalamikia management ya PPRA kwa kushindwa kusimamia vizuri manunuzi ya umma hali iliyopelekea upigaji kuendelea katika taasisi za serikali na baadhi ya halmashauri.

CCM inafeli wapi kwenye mapambano ya rushwa?!!

Kuna wakati kutokana na uozo kama huu huwa nakubaliana na mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila kwamba ni heri tungekuwa na Magufuli ruling party siye wengine tungejisajili huko

Maendeleo hayana vyama!

Viongozi wa CCM wamepatikana kwa vigezo gani? Zamani ukijua fitna na uongo, halafu uwe na hela basi mambo yako yamenyooka
 
Kuna wakati huwa nafarijika niwaonapo viongozi wa CCM wakiwa wamevalia sare za chama wakikagua utekelezaji wa ilani kwenye halmashauri na taasisi za serikali.
Niliamini wanafanya kazi ya maana....kumbe bure kabisa hamna lolote na inawexekana ziara zile huwa wanakwenda kuvuta mpunga tu.
Nimefuatilia ziara ya waziri mkuu mkoani Morogoro na Iringa kwa hakika madudu anayokutana nayo huko ni kana kwamba serikali hii haijaundwa na CCM. Na viongozi wa CCM wamejazana kuanzia ngazi ya wilaya hadi kijiji.
Leo tena nimemsikia waziri wa fedha Dr Mpango akiilalamikia management ya PPRA kwa kushindwa kusimamia vizuri manunuzi ya umma hali iliyopelekea upigaji kuendelea katika taasisi za serikali na baadhi ya halmashauri.
CCM inafeli wapi kwenye mapambano ya rushwa?!!
Kuna wakati kutokana na uozo kama huu huwa nakubaliana na mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila kwamba ni heri tungekuwa na Magufuli ruling party siye wengine tungejisajili huko
Maendeleo hayana vyama!
rushwa na matendo mengine ambayo yanafanywa kwa utashi wa afanyaye ni magum sana kupambana nayo mkuu,kosa sio la ccm maana rushwa ni tabia ya wahusika,ni sawa na swala la terrorism na mihadarati,dunia inahangaika kupambana nayo na haijafanikiwa sabab ni mambo yanayohitaji wahusika kwa utashi wao wawe tayari kuquit,,,,,CCM iko Tanzania tu lakin sio ajabu kukutana na scandal ya rushwa south Africa,Sudan,sierra leon,Congo dr au Malawi,,,,,,,,,,,!!!Mimi nafikiri shida sio CCM,shida ni watu,na ishu hizi huwez pambana nazo kwa sheria peke yake,elimu na maombi inapobid lazma vitumike walau kubadili mindset za wahusika ili tupunguze tatzo kama siyo kumaliza kabisa,,,,,,yangu ni hayo tuuu
 
rushwa na matendo mengine ambayo yanafanywa kwa utashi wa afanyaye ni magum sana kupambana nayo mkuu,kosa sio la ccm maana rushwa ni tabia ya wahusika,ni sawa na swala la terrorism na mihadarati,dunia inahangaika kupambana nayo na haijafanikiwa sabab ni mambo yanayohitaji wahusika kwa utashi wao wawe tayari kuquit,,,,,CCM iko Tanzania tu lakin sio ajabu kukutana na scandal ya rushwa south Africa,Sudan,sierra leon,Congo dr au Malawi,,,,,,,,,,,!!!Mimi nafikiri shida sio CCM,shida ni watu,na ishu hizi huwez pambana nazo kwa sheria peke yake,elimu na maombi inapobid lazma vitumike walau kubadili mindset za wahusika ili tupunguze tatzo kama siyo kumaliza kabisa,,,,,,yangu ni hayo tuuu

Unaelewaje unaposikia serikali hii ikisifiwa na rais kumwagiwa sifa za kiwango cha juu, na kisha kuwekwa kibwagizo cha kuwa rais na ccm watashinda kwa kishindo hiyo 2020 maana wamethibiti rushwa?
 
Ndiyo maana nchi nyingi za Africa ni ngumu sana kutoboa kufikia level za nchi za Ulaya... Sababu ya kuliingizia hili taifa hasara kuna watu wanapiga hela sasa najiuliza TAKUKURU wanakwama wapi?

Kwanini inapobainika kuna madudu sehemu flani kwanini wasifanye overhoul ya Taasisi nzima na kuajiri wapya? Au kuwastaafisha kwa nguvu hata kama mtu ana miaka 40?

Takukuru wenyewe wanategemea rushwa kuboresha maisha yao. Nenda kaangalie ukwasi walio nao wafanyakazi wa Takukuru ndio ujue rushwa haitakaa iishe nchini. Kuacha kuhabarisha umma kuhusu rushwa ili ionekane serekali imedhibiti rushwa, hakutakaa kumalize tatizo la rushwa.
 
Kuna wakati huwa nafarijika niwaonapo viongozi wa CCM wakiwa wamevalia sare za chama wakikagua utekelezaji wa ilani kwenye halmashauri na taasisi za serikali.

Niliamini wanafanya kazi ya maana....kumbe bure kabisa hamna lolote na inawexekana ziara zile huwa wanakwenda kuvuta mpunga tu.

Nimefuatilia ziara ya waziri mkuu mkoani Morogoro na Iringa kwa hakika madudu anayokutana nayo huko ni kana kwamba serikali hii haijaundwa na CCM. Na viongozi wa CCM wamejazana kuanzia ngazi ya wilaya hadi kijiji.

Leo tena nimemsikia waziri wa fedha Dr Mpango akiilalamikia management ya PPRA kwa kushindwa kusimamia vizuri manunuzi ya umma hali iliyopelekea upigaji kuendelea katika taasisi za serikali na baadhi ya halmashauri.

CCM inafeli wapi kwenye mapambano ya rushwa?!!

Kuna wakati kutokana na uozo kama huu huwa nakubaliana na mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila kwamba ni heri tungekuwa na Magufuli ruling party siye wengine tungejisajili huko

Maendeleo hayana vyama!
Taarifa ya habari ya TBC inasema hamna rushwa.
Cc: Mch. Kimaro
 
Motisha kubwa ya viongozi wengi waliopo ndani ya CCM, si kutokana na msukumo wa ndani na wa dhati ktk kutaka kuwatatulia wananchi changamoto zao za maisha, bali fursa za upigaji na kujikusanyia mali. Jaribu kuangalia hata zoezi la uhakiki wa mali za chama, imedhihirisha upigaji na "looting" ndiyo sehemu ya maisha ya makada. Haya madudu yanayoibuliwa hivi sasa na PM ni sehemu ya kampeni za chaguzi zinazokuja tu, wala si vinginenevyo.
 
Yaani maisha hayako sawa. Waliosoma course ndogo za kijinga ambazo mtu yoyote anafaulu ndio zenye pesa but course ngumu zenye akili watu hawapati pesa. Ngoja tuone Kama Mungu atatuona. Yaani medicine anakuwa Hana pesa kuliko uhasibu aliyeanzia certificate?
 
Ndiyo maana nchi nyingi za Africa ni ngumu sana kutoboa kufikia level za nchi za Ulaya... Sababu ya kuliingizia hili taifa hasara kuna watu wanapiga hela sasa najiuliza TAKUKURU wanakwama wapi?

Kwanini inapobainika kuna madudu sehemu flani kwanini wasifanye overhoul ya Taasisi nzima na kuajiri wapya? Au kuwastaafisha kwa nguvu hata kama mtu ana miaka 40?
TAKUKURU HAWAKWAMI WANAKWAMISHWA...
Kisiasa zaidi...
 
Kuna wakati huwa nafarijika niwaonapo viongozi wa CCM wakiwa wamevalia sare za chama wakikagua utekelezaji wa ilani kwenye halmashauri na taasisi za serikali.

Niliamini wanafanya kazi ya maana....kumbe bure kabisa hamna lolote na inawexekana ziara zile huwa wanakwenda kuvuta mpunga tu.

Nimefuatilia ziara ya waziri mkuu mkoani Morogoro na Iringa kwa hakika madudu anayokutana nayo huko ni kana kwamba serikali hii haijaundwa na CCM. Na viongozi wa CCM wamejazana kuanzia ngazi ya wilaya hadi kijiji.

Leo tena nimemsikia waziri wa fedha Dr Mpango akiilalamikia management ya PPRA kwa kushindwa kusimamia vizuri manunuzi ya umma hali iliyopelekea upigaji kuendelea katika taasisi za serikali na baadhi ya halmashauri.

CCM inafeli wapi kwenye mapambano ya rushwa?!!

Kuna wakati kutokana na uozo kama huu huwa nakubaliana na mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila kwamba ni heri tungekuwa na Magufuli ruling party siye wengine tungejisajili huko

Maendeleo hayana vyama!
Uko wa panya walidhani wamechagua paka 2015 kukomesha wixi kumbe waliambulia panya mkubwa ndezi mwizi na mharibifu mkuu
Subirini
 
Kuna wakati huwa nafarijika niwaonapo viongozi wa CCM wakiwa wamevalia sare za chama wakikagua utekelezaji wa ilani kwenye halmashauri na taasisi za serikali.

Niliamini wanafanya kazi ya maana....kumbe bure kabisa hamna lolote na inawexekana ziara zile huwa wanakwenda kuvuta mpunga tu.

Nimefuatilia ziara ya waziri mkuu mkoani Morogoro na Iringa kwa hakika madudu anayokutana nayo huko ni kana kwamba serikali hii haijaundwa na CCM. Na viongozi wa CCM wamejazana kuanzia ngazi ya wilaya hadi kijiji.

Leo tena nimemsikia waziri wa fedha Dr Mpango akiilalamikia management ya PPRA kwa kushindwa kusimamia vizuri manunuzi ya umma hali iliyopelekea upigaji kuendelea katika taasisi za serikali na baadhi ya halmashauri.

CCM inafeli wapi kwenye mapambano ya rushwa?!!

Maendeleo hayana vyama!
Duh...!.
P
 
Ndio mana nguvu kubwa sana inatumika,kudhiniti wapinzani ,vyombo vya habari na wakosoaji,ili waendelee kuiba bila kuulizwa
 
huko PPRA shida kubwa ni ile sheria ya manunuzi, ni sheria ya kijinga sijapata ona. yaani kitu kinauzwa posta 100,000/= lakini taasisi haiwezi kwenda kununua bali wanatakiwa kutumia wazabuni na mwisho wa siku wanaletewa kwa 2,000,000/=. serikali inapigwa hela kijinga sana, JPM mwenyewe analijua vema hili, aliwahi kuligusia kwenye manunuzi ya madawa kule MSD.
 
Siku ikatokea ccm ikaanzisha mapambano ya kweli dhidi ya wala rushwa na wahujumu uchumi wote ndani ya nchi yetu, na pasipo kubagua huyu ni nani, na yule ni nani,

ikaamua kwa makusudi kabisa kutanguliza maslahi ya Taifa kwanza badala ya yale ya kwake kama chama dola na makada wake waliojomilikisha nchi yetu; mnijulishe ili niweze kujiunga na kuwa mwanachama wao.
 
Kuna wakati huwa nafarijika niwaonapo viongozi wa CCM wakiwa wamevalia sare za chama wakikagua utekelezaji wa ilani kwenye halmashauri na taasisi za serikali.

Niliamini wanafanya kazi ya maana....kumbe bure kabisa hamna lolote na inawexekana ziara zile huwa wanakwenda kuvuta mpunga tu.

Nimefuatilia ziara ya waziri mkuu mkoani Morogoro na Iringa kwa hakika madudu anayokutana nayo huko ni kana kwamba serikali hii haijaundwa na CCM. Na viongozi wa CCM wamejazana kuanzia ngazi ya wilaya hadi kijiji.

Leo tena nimemsikia waziri wa fedha Dr Mpango akiilalamikia management ya PPRA kwa kushindwa kusimamia vizuri manunuzi ya umma hali iliyopelekea upigaji kuendelea katika taasisi za serikali na baadhi ya halmashauri.

CCM inafeli wapi kwenye mapambano ya rushwa?!!

Kuna wakati kutokana na uozo kama huu huwa nakubaliana na mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila kwamba ni heri tungekuwa na Magufuli ruling party siye wengine tungejisajili huko

Maendeleo hayana vyama!
umeanza vizuri lakini mwishowe umekuja kunya hapa....
Kuna wakati kutokana na uozo kama huu huwa nakubaliana na mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila kwamba ni heri tungekuwa na Magufuli ruling party siye wengine tungejisajili huko
 
Back
Top Bottom