Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
kuna baadhi ya vitu nimekuwa nikijiulizaa
ivi unadhani ni kitu gani kitatokea endapo asilimia kubwa ya watanzania wataacha kuhudhulia ibada makanisani na misikini kwa kipindi cha miaka kumi au muda mrefu yaani hiyo siku unakuta viongozi wa dini mashehe,mapadri wanashangaa waumini waoo hawaonekani makanisani na misikini,
inafika hatua kila siku ya ijumaa misikitini watu hawaonekani, jumapili makanisani watu hawaonekaniiiiiiiiii
hebu tupe maoni yakooo
Sent using Jamii Forums mobile app
ivi unadhani ni kitu gani kitatokea endapo asilimia kubwa ya watanzania wataacha kuhudhulia ibada makanisani na misikini kwa kipindi cha miaka kumi au muda mrefu yaani hiyo siku unakuta viongozi wa dini mashehe,mapadri wanashangaa waumini waoo hawaonekani makanisani na misikini,
inafika hatua kila siku ya ijumaa misikitini watu hawaonekani, jumapili makanisani watu hawaonekaniiiiiiiiii
hebu tupe maoni yakooo
Sent using Jamii Forums mobile app