Huo ni mtazamo.Wadau kwa muda wa miaka mingi nimesikiliza muziki wa RnB, Soul na Pop hasa wa wasanii wa kike ila mpaka sasa sijapata wa kumfikia WH! Huyu katika wasanii hakika alikuwa msanii na sidhani kama kuna msanii wa kufikia records alizoweka!
Mpaka anafariki alikuwa kashapata tuzo, 640+ huku akiwa nominated zaidi ya mara 781!!
Mbali na Whitney Houston Wasanii wanaomfatia kwa ubora ni pamoja na
2. Mariah Carey
3. Celine Dion
4. Christina Aguilera
5. Beyonce
Sijui kama kweli but niliwahi sikia nyimbo za Whitney zilikuwa zikitumika kuwaamsha wagonjwa walio kwenye coma
na zimewahi kutumiwa na NASA huko kwenye space....
Sasa uongo uko wapi hapo bwashee? Kwamba Whitney alikuwa abwii unga? Kwamba hakuwa anabwia unga na BB? Haya mambo wote tunasoma tu kutoka source mbalimbali na usilete ujuwaji...
Nikikuuliza tu mmatumbi mwenzio Ray C ni nani kamfundisha kubwia unga unaweza kutowa maelezo?
Atakuambia lord eyezSasa uongo uko wapi hapo bwashee? Kwamba Whitney alikuwa abwii unga? Kwamba hakuwa anabwia unga na BB? Haya mambo wote tunasoma tu kutoka source mbalimbali na usilete ujuwaji...
Nikikuuliza tu mmatumbi mwenzio Ray C ni nani kamfundisha kubwia unga unaweza kutowa maelezo?
Huyu Mama na kumzidi umri BB bado BB ndiye amfundishe HW kutumia unga? Acheni uongo kama hamfahamu historia ya watu.
Whitney alikuwa mtumia unga kwa miaka mingi tu ila sema familia walificha au hawakutaka kuliona hilo na wakaja wakapata jalala la kutupia lawama.
Wee mtu alishatoka na akina Eddy Murphy, Jermain Jackson, Scott Pippen nk ndiyo kuja kuokotwa na kitoto BB by the time.
Mama ndiyo maana alikuwa amekauka mwili kwa miaka mingi kwa sababu Cocca inakausha mwili na mtu anakuwa hana Maziwa wala Makalio.
Hebu angalia huu wimbo ambao aliimba wakati hajawa bado na BB jinsi alivyochonga na kubaki mifupa. Cocca inachongesha watu si kawaida.
Huu wimbo ni kati ya nyimbo zake za mwanzo kabisa katika tasnia ya muziki, nyingine kama 'I wanna dance with somebody etc, hiyo ni miaka ya mwanzo ya 80's na ndo lilikuwa umbo lake na sio kwamba alishaabza kubwia madawa
Lata Mangeshkar wa India ana umri wa miaka 86, ameanza kuimba 1942.