Hivi itakuaje kama JUA ndio jehanamu / ziwa liwakalo moto?

Kwa mujibu wa fizikia ya sasa na kwa kuangalia nyota nyingine zilizo kama jua, jua haliwezi kuwaka milele. Litamaliza nuclear fusion inayolifanya liwake katika miaka takibani bilioni 4.5 ijayo.

Jua ni nyota, linaonekana kubwa hivyo kwa sababu ni nyota iliyo karibu tu.

sasa miaka bilioni 4.5 si ndo milele hyo
 
Smart guy, umeshangaa! Jua ni Mungu. Kama wewe ni mkristu unaabudu siku ya jumapili (Sunday) ina maana Sunny day - siku ya kuabudu jua. Huenda jua ndicho alichosema Myunani wa kale kuwa ni "unmoved mover "
 
Smart guy, umeshangaa! Jua ni Mungu. Kama wewe ni mkristu unaabudu siku ya jumapili (Sunday) ina maana Sunny day - siku ya kuabudu jua. Huenda jua ndicho alichosema Myunani wa kale kuwa ni "unmoved mover
Mkuu iyo sijui ety jumapili ni siku ya jua
 
Smart guy, umeshangaa! Jua ni Mungu. Kama wewe ni mkristu unaabudu siku ya jumapili (Sunday) ina maana Sunny day - siku ya kuabudu jua. Huenda jua ndicho alichosema Myunani wa kale kuwa ni "unmoved mover "
Sawa ni mtazamo tu
 
Hapo umeshakashifu wale wanaoabudu jua! Kwa kuwa jua ni chanzo cha maisha duniani Mimi ninaamini "Mungu ni JUA " Mungu anatoka mashariki anasafiri bila kuchoka na kutua magharibi kwenda kuangazia upande mwingine wa dunia . Heri mimi ninaeamini Mungu anaeonekana.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom