Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,204
- Thread starter
- #61
Source of energy flow
Eti nini jua ndo___?
Eti nini jua ndo___?
Alafu nilikua nipo kwenye hali nzuri wala hamna shida sijui njaa sijui ukata no no no mkuuMkuu uliwezaje kuliangalia tu?
Mungu sio mkatili ivyo achome kazi ya mikono yake wakati anasema anatupenda.nazani.ni vitisho tu tupate kumtii mungu.
Aisee!Leo nimelitazama jua kwa muda kidogo kwa jinsi linavyochoma wakuu hii hisia ikanijia je? Kama ndio jehanamu alafu dunia nzina itatupwa ndani yake alafu ni jambo la milele nyie nyie eeeh!
Hivi wakuu jua mnalionaje?
sasa miaka bilioni 4.5 si ndo milele hyoKwa mujibu wa fizikia ya sasa na kwa kuangalia nyota nyingine zilizo kama jua, jua haliwezi kuwaka milele. Litamaliza nuclear fusion inayolifanya liwake katika miaka takibani bilioni 4.5 ijayo.
Jua ni nyota, linaonekana kubwa hivyo kwa sababu ni nyota iliyo karibu tu.
Mkuu iyo sijui ety jumapili ni siku ya juaSmart guy, umeshangaa! Jua ni Mungu. Kama wewe ni mkristu unaabudu siku ya jumapili (Sunday) ina maana Sunny day - siku ya kuabudu jua. Huenda jua ndicho alichosema Myunani wa kale kuwa ni "unmoved mover
Labda kishairi, si kihesabu.sasa miaka bilioni 4.5 si ndo milele hyo
Sawa ni mtazamo tuSmart guy, umeshangaa! Jua ni Mungu. Kama wewe ni mkristu unaabudu siku ya jumapili (Sunday) ina maana Sunny day - siku ya kuabudu jua. Huenda jua ndicho alichosema Myunani wa kale kuwa ni "unmoved mover "
Nilikuwa nasikiliza ngoma ya Konde boy, badala ya kuchangia kwenye uzi nikajikuta naandika kiitikio,Nani huyo mkuu
Mkuu unajikosha au sioNilikuwa nasikiliza ngoma ya Konde boy, badala ya kuchangia kwenye uzi nikajikuta naandika kiitikio,
Hapana ninajivukiza mkuuMkuu unajikosha au sio