Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,204
Leo nimelitazama jua kwa muda kidogo kwa jinsi linavyochoma wakuu hii hisia ikanijia je? Kama ndio jehanamu alafu dunia nzina itatupwa ndani yake alafu ni jambo la milele nyie nyie eeeh!
Hivi wakuu jua mnalionaje?
Hivi wakuu jua mnalionaje?