LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
nkikumbuka jinsi ccm walivyo livalia njuga swala la zito utimiliwa unaibu chadema sidhani kama mzani wake wafanana na huu wa hawa mizigo kutimuliwa ccm ,yaani kiurahisi nazidi pata picha uhusika wa ccm kwenye sakata la zitto ,,kweli chadema wanabusara za hali ya juuu sana,kama ndio ingekuwa ccm hapo wangesha anza kununua watu wasio jitambua wajitwishe mabango yaliyo andikwa wasicho kijua,tena maskini ya mungu wengine waliyabeba hata kusoma hawajui lol!!