Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,053
Nawasalimu ndugu zangu, natumai hamjambo wote.
Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.
Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani waliwahi sema tunahitaji Rais dikiteta? Na kweli walikuwa sahihi kabisa manake tulikuwa pabaya mno.
Fikirieni nchi hadi tukawa hatuna Tena ndege, shirika la reli limekufa, huduma za jamii zimezolota kabisa. Kwa ufupi tufika pabaya mno kama nchi na suluhisho ilikua ni lazima apatikane mtawala kama JPM ili aweke nchi sawa kwanza ili baadaye ndo tuje tupate kiongozi.
Tatizo la JPM Naona alifanya kazi hadi akapitiliza.
Kwangu Mimi JPM alichoharibu ni suala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikuwa kichwa sana tukichukulia na nchi ilipokuwa imefikia.
Nawakumbusha Tena kwa tulipokuwa tumefika ilikuwa ni lazima tumpate JPM ili kuiweka nchi kwenye mstari.
Kwa hiyo tumpe sifa zake na yale mabaya aliyofanya tuchukue kama Somo ili tusonge mbele ndugu zangu.
Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.
Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani waliwahi sema tunahitaji Rais dikiteta? Na kweli walikuwa sahihi kabisa manake tulikuwa pabaya mno.
Fikirieni nchi hadi tukawa hatuna Tena ndege, shirika la reli limekufa, huduma za jamii zimezolota kabisa. Kwa ufupi tufika pabaya mno kama nchi na suluhisho ilikua ni lazima apatikane mtawala kama JPM ili aweke nchi sawa kwanza ili baadaye ndo tuje tupate kiongozi.
Tatizo la JPM Naona alifanya kazi hadi akapitiliza.
Kwangu Mimi JPM alichoharibu ni suala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikuwa kichwa sana tukichukulia na nchi ilipokuwa imefikia.
Nawakumbusha Tena kwa tulipokuwa tumefika ilikuwa ni lazima tumpate JPM ili kuiweka nchi kwenye mstari.
Kwa hiyo tumpe sifa zake na yale mabaya aliyofanya tuchukue kama Somo ili tusonge mbele ndugu zangu.