Hivi ingekuwa ni CHADEMA wameandamana bila kibali ingekuwaje?

Mkuu mbona unatumia nguvu nyingi bila sababu yeyote, halafu inasikitisha kuona unawagawa watu kwa misingi ya dini, kwa hiyo Chadema hakuna Waislam? Na kuhusu mauaji vipi mapigano ya Congo, mauaji ya Rwanda, Burudi, Kenya, Uganda, wamesababisha Waislam? Jenga hoja za msingi sio porojo.

duh wewe jamaa mdini sana.
 
Wale wote walijitokeza kwenda kuweka dhamana, hapo sasa!
 
Nikisoma forums nyingi humu, naona wazi kuwa Umoja wetu wa kitaifa umeshatoweka. Yeyote yule aliyefanikiwa kutufanya tutangulize dini zetu katika mijadala yote tuliyonayo humu, amefanikiwa kutugawa.

Swali langu ninalojiuliza, sisi tunaochangia kwa jazba sana kila upande ukitetea dini yake, tunajua mambo haya yatatupeleka wapi? Tunajua Tanzania ya aina gani tutakayowaachia watoto wetu?

Pengine kuna mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu, kama maamuzi ya wanasiasa, mwenendo wa kiuchumi n.k., lakini nadhani imo ndani ya uwezo wetu kutumia busara na hekima, na kupima kila kauli tunazotoa humu kama zinasaidia kutuweka pamoja au zinatutenga zaidi hasa katika suala la Waislamu na Wakristo.

Jambo la hakika ni kuwa hoja zenye kejeli, mizaha na dharau dhidi ya dini nyingine hazikufanyi ushinde, bali unampoteza kabisa yule mnaejadiliana naye na anaamua kukuchukia wewe na kile unachokisimamia (Chama cha Siasa au Itikadi ya kisiasa).

Tunajiita ni great thinkers. Let us think about this! Tuanze kuona kuwa busara kwetu sote inahitajika.

Mungu Ibariki Tanzania Yetu, dumisha Uhuru na Umoja.
 
Kama akili za WANA-CHADEMA NDIZO HIZI wana kazi kubwa sana KUAMINISHA WATU KWAMBA CHADEMA SI CHAMA CHA KIDINI, AU CHENYE UDINI...

yaleyale ya CUF ndio yatakayoimaliza CHADEMA!
Kwa kifupi WANAJIMALIZA wenyewe kwa kushindwa KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI!

ndio maana TBC walisema katika sensa yao isiyo rasmi kuwa wakristo ni wengi kuliko waislamu!!! (wao wanasema ni mtangazaji ndio alikosea.. je alichukuliwa hatua ipi?) hayo ndio madonda ya udini yameshaanza bado makovu yake!!
 
Nikisoma forums nyingi humu, naona wazi kuwa Umoja wetu wa kitaifa umeshatoweka. Yeyote yule aliyefanikiwa kutufanya tutangulize dini zetu katika mijadala yote tuliyonayo humu, amefanikiwa kutugawa.

Swali langu ninalojiuliza, sisi tunaochangia kwa jazba sana kila upande ukitetea dini yake, tunajua mambo haya yatatupeleka wapi? Tunajua Tanzania ya aina gani tutakayowaachia watoto wetu?

Pengine kuna mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu, kama maamuzi ya wanasiasa, mwenendo wa kiuchumi n.k., lakini nadhani imo ndani ya uwezo wetu kutumia busara na hekima, na kupima kila kauli tunazotoa humu kama zinasaidia kutuweka pamoja au zinatutenga zaidi hasa katika suala la Waislamu na Wakristo.

Jambo la hakika ni kuwa hoja zenye kejeli, mizaha na dharau dhidi ya dini nyingine hazikufanyi ushinde, bali unampoteza kabisa yule mnaejadiliana naye na anaamua kukuchukia wewe na kile unachokisimamia (Chama cha Siasa au Itikadi ya kisiasa).

Tunajiita ni great thinkers. Let us think about this! Tuanze kuona kuwa busara kwetu sote inahitajika.


Mungu Ibariki Tanzania Yetu, dumisha Uhuru na Umoja.
Mkuu umenena!

tatizo tulilo nalo kubwa kabisa tumekuwa COPY n PASTE wa mawazo! TUNANAKILI na KUBANDIKIZA!! Ukiona WASOMI wanawasikiliza WASIOSOMA NA KUFUATA MAONI YAO jua TULISHAKUFA ZAMANI!! Ukiona NCHI WENYE AKILI WANAONWA WAJINGA.. JUA TULISHAANGAMIA!! Ukiona WATU WAMETINDIKIWA UWEZO WA KUFIKIRI HUKU WAKIJISIFIA KUWA WANA AKILI SANA usijiulize kunani HUO NI MSIBA!!!

Wengi wetu HATUFIKIRII TUFANYEJE ili TUJIKWAMUE KWENYE ADHA TULIZO NAZO BALI TUNAWAZA WANASIASA WAJE NA MAJAWABU WASIOKUWA NAYO! Inasikitisha kwamba HATUJIFUNZI... jamani WATANZANIA ALIYETUROGA NI NANI??? MPAKA LEO TUNAWAZA WAKO WENYE FIKRA SAHIHI!!!!!!!!!!!!!?????????????????????????????????????
 
unasema Wakristo hawatumiwi na CCM? Kama akili ni nywele basi wewe una kipara, unamjua babu wa loliondo? Unajua akina nani walipiga kura kumchagua chaguo la mungu? Jifunze haya then itakusaidia
The truth is wakristo wanaoutumiwa wapo as individuals bt not CHRISTIANS AS A WHOLE kaka usiye na kipara nikusaidie kidogo. Nyinyi wenzetu in everything mnaingia wazimawazima na dini yenu kama mlivyo coz hamna DIRECTION! Ni heri kuwa na kipara kuliko kujawa na mizimu inayo ku drive to any belief without questioning! Huyo babu wa loriondo ndio representative wa wakristo? pole kaka nadhani una tatizo la msingi katika kuchanganua vitu. Ukweli uko wazi kwa kila mwenye uelewa wa kawaida kwamba nyinyi ndugu zetu ndio mnaotuchelewesha kupata mabadiliko simply because you dont know exactly what u want!
 
Back
Top Bottom