Hivi inawezekana?

nanasi85

Member
Oct 13, 2012
49
4
habar, hv kwel Jaman inawezakawa usionane na mpenzi wako takrban mwez na siku kadhaa kwel na sio mtu waubusy kiivyo, japo mawasiliano yapo pale pale but spending time ni zero na haikuwa hivyo... mm ni lady!
 
Kama mwanzo haikuwa hivyo ujue unasaidiwa, ila kama ilikuwa hivyo basi punguza hofu. Ila ndo mbinu wanaume huwa tunatumia tunapokuwa tunataka kuacha mtu.
 
Duh! Mji mmoja?
Hiyo haiwezekani, hapo mapenzi yamepungua au interest imehamia kwingine au kapata kwngn.
Pole sana! Ongea naye kwanza.
 
Kama ana penzi la kweli haiwezekani kukata muda wote huo ilhali mko jiji moja bila kuonana. Tafakari kisha ufanye maamuzi mazito.
 
habar, hv kwel Jaman inawezakawa usionane na mpenzi wako takrban mwez na siku kadhaa kwel na sio mtu waubusy kiivyo, japo mawasiliano yapo pale pale but spending time ni zero na haikuwa hivyo... mm ni lady!


Ukiona sehemu kuna moshi ujue moto unakuja,fanya maamuzi magumu mapema
 
Keshampata mkavu wewe una Maji sana Sababu ya weupe wako ulishakosea kumpatia ungembania hadi ndoa.. Pole, tafuta mwingine na usimpe nanasi hadi mapinguni
 
Kama ana penzi la kweli haiwezekani kukata muda wote huo ilhali mko jiji moja bila kuonana. Tafakari kisha ufanye maamuzi mazito.

yan mji mmoja kwel Jaman kaah baadh ya wanaume ni nouma! na anaweza jua npo town na yy Yupo town hata kuntafuta jama. just hi! mnaumiza baadh yenu.kaaah...
 
Keshampata mkavu wewe una Maji sana Sababu ya weupe wako ulishakosea kumpatia ungembania hadi ndoa.. Pole, tafuta mwingine na usimpe nanasi hadi mapinguni

hlo na nalo ni kosa la jinai japo tuna mwaka na nusu Sasa... huenda kanchoka lkn
 
Hapo kwenye rangi umetumia maneno muafaka maana si Wanaume wote wana tabia kama za huyu wa kwako bali baadhi ya Wanaume. Pole sana.

yan mji mmoja kwel Jaman kaah baadh ya wanaume ni nouma! na anaweza jua npo town na yy Yupo town hata kuntafuta jama. just hi! mnaumiza baadh yenu.kaaah...
 
Back
Top Bottom