tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,809
- 15,059
Habari zenu wazee wenzangu?
Iko hivi, kuna binti mmoja alikuwa mtu wangu back then. Sasa kutokana na harakati za maisha tukajikuta tumeachana, sema toka tuachane hatukuwa na ukaribu kivile.
So toka last week ananitafuta ananiomba nimkopeshe 800k ya ada ya mwanae kakwama then mwisho wa mwezi atanirudishia.
Kiasi hicho cha pesa naweza kupambana nikakipata ila wasiwasi wangu huyu mtu atanirudishia kweli hiyo pesa au ndio itakua bad debt?
Wenye uzoefu wa kuwakopesha ma ex wenu nipeni ushauri please!
Iko hivi, kuna binti mmoja alikuwa mtu wangu back then. Sasa kutokana na harakati za maisha tukajikuta tumeachana, sema toka tuachane hatukuwa na ukaribu kivile.
So toka last week ananitafuta ananiomba nimkopeshe 800k ya ada ya mwanae kakwama then mwisho wa mwezi atanirudishia.
Kiasi hicho cha pesa naweza kupambana nikakipata ila wasiwasi wangu huyu mtu atanirudishia kweli hiyo pesa au ndio itakua bad debt?
Wenye uzoefu wa kuwakopesha ma ex wenu nipeni ushauri please!