The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
Inawezekana.. mbona mimi mjomba wangu ananiita mke wake na Mimi namuita Mume wangu 😀😀
Mnhhh
Inawezekana.. mbona mimi mjomba wangu ananiita mke wake na Mimi namuita Mume wangu 😀😀
Mkiwa mnaanisha nini hasa kuitana hivyo wewe na mjomba wako?Inawezekana.. mbona mimi mjomba wangu ananiita mke wake na Mimi namuita Mume wangu
mkuu usiseme laivu...hataki kusikiaHaahahha fala sanaa hahahahaha unatombewaaa.
Maendeleo hayana chama sio..Kwaa kwa kutulia..honey
We kalia kusema anko, huku unamegewaMhhhh! Ila inaweza ikawa kweli hivi ila anko kweli ale mzigo mtoto wa dada yake
Inatokea SANA SANA SANA. Kumbuka mambo ya mapenz watu wakiwa karibu ni rahisi sana. Ndg siku zote wako karibu na wanaonana mara kwa mara sana. Wengine tuna akili za kutojihusisha kimapenz na ndg. Lakini kuna watu kibao hawana akili au uwezo huo. Na videmu vya siku hizi vilivyo na moto na kupenda hela, uncle alimrushia kidogo tu na mtoto akajua uncle ana-care, kumbe anko anataka kula kifaranga au mayai bila kujali damu ya nani.Mhhhh! Ila inaweza ikawa kweli hivi ila anko kweli ale mzigo mtoto wa dada yake