project planner
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 1,166
- 1,532
Wakuu nina demu nina mpenda sana na ananipenda ila jana nimekuta sms akiwa nachart na anko wake ninaemjua kuwa ni anko wake. Kinachonishangaza wanaitana honey na babe hivi inawezekana mtu na anko wake kuitana hny na babe kweli?
Nishaurini kabla kichwa changu hakijaamua maamuzi magumu maana kichwa changu hichi nakijua kwa kuamuwa japo yeye anasema wamezoeana kuitana hivyo na anko wake nae ni kijana mwenzake
Nishaurini kabla kichwa changu hakijaamua maamuzi magumu maana kichwa changu hichi nakijua kwa kuamuwa japo yeye anasema wamezoeana kuitana hivyo na anko wake nae ni kijana mwenzake