Miongoni mwa vitu vinavyochangia wanaume wengi kupungukiwa nguvu za kiume siku hizi ni vile wanawake wengi siku hizi hawajisitili vyema maungo yao kiasi cha kuzoeleka machoni!
Swali; hili likoje kwa ndugu zetu vipofu je na wao hukumbwa na mfadhaiko au hili tatizo la kuishiwa nguvu za kiume?
Swali; hili likoje kwa ndugu zetu vipofu je na wao hukumbwa na mfadhaiko au hili tatizo la kuishiwa nguvu za kiume?