Hatari na nusuDah bongo nyoso
Mshaanza kuja na maswali magumu. Mimi nilikuwepo.Umejuaje kama kazimia?
Tuanzie hapo!
Nimekumbuka maigizo ya magu, eti ana ekti anakunywa kahawa na wanyonge alafu nyingine ana act ana nunua mahindi mtaani kumbe muuza mahindi ana bastola kiunoni.Umejuaje kama kazimia?
Tuanzie hapo!
Ndugai aliwafananisha watu fulani na nyani kumbe ni kweli!Umejuaje kama kazimia?
Tuanzie hapo!
Wewe unaona ajabu muuza mahindi kuwa na bastola?!!Nimekumbuka maigizo ya magu, eti ana ekti anakunywa kahawa na wanyonge alafu nyingine ana act ana nunua mahindi mtaani kumbe muuza mahindi ana bastola kiunoni.
Maigizo ccm hamjaanza leo.
Wamezoea kuigiza.Kumekuwa na taarifa kwamba baadhi ya wanaozimia na kulia hovyo wameandaliwa kufanya hivyo na MATAGA
Ktk kufuatilia taarifa hizo nimekutana na kituko hiki. Huyu aliyejifanya kazimia bado kang'ang'ania mfuko wake
View attachment 1733531
Kumekuwa na taarifa kwamba baadhi ya wanaozimia na kulia hovyo wameandaliwa kufanya hivyo na MATAGA
Ktk kufuatilia taarifa hizo nimekutana na kituko hiki. Huyu aliyejifanya kazimia bado kang'ang'ania mfuko wake
View attachment 1733531
Ilikuwaje akakwea machela?Umejuaje kama kazimia?
Tuanzie hapo!
Hapana asee nalia kiume.. vipi weweWe hujazimia maana unaonekana lainilaini sana?
Kwahiyo kafa au?Umejuaje kama kazimia?
Tuanzie hapo!