Hivi inawezekana kuisoma tabia/ personality ya mtu kwa mijadala yoyote anayoitoa mtandaoni?

mcTobby

JF-Expert Member
Feb 16, 2018
2,985
9,309
Wana JF, natumai hamjambo wote huku mkiendelea kulijenga taifa kwa namna moja ama nyingine.

Moja kwa moja kwenye mada.

Najua huku kuna watu wenye taaluma mbalimbali ikiwemo kada za sociology na psychology mtawalia. Nachotaka kufahamu hususan katika zama hizi za utandawazi na mitandao, je kwa kupitia komenti na replies zozote mtandaoni anazozitoa mtu eidha kuchangia mada au kumjibu mtu je inawezekana kumsoma tabia yake au personality yake kwa kuisoma tu ile replies au komenti aliyoitoa?

Natanguliza shukurani za dhati kwa majibu yenu.

Karibuni
 
Hilo linawezekana vizuri tu, ila inahitaji muda kidogo. Inatakiwa uangalie trend ya post za muhusika. Maudhui ya post zake na threads anazopitia. Halafu ukimaliza hayo unaweza kumtupia reply kwenye post zake mbili tatu hivi. Hizi unaconfigure ili ajibu kufuatia kile unachohitaji.

Asante.
 
Hilo linawezekana vizuri tu, ila inahitaji muda kidogo. Inatakiwa uangalie trend ya post za muhusika. Maudhui ya post zake na threads anazopitia... Halafu ukimaliza hayo unaweza kumtupia reply kwenye post zake mbili tatu hivi.. Hizi unaconfigure ili ajibu kufuatia kile unachohitaji..

Asante.
Naam nimekupata
 
Wana jf natumai hamjambo wote huku mkiendelea kulijenga taifa kwa namna moja ama nyingine .

Moja kwa moja kwenye mada .

Najua huku kuna watu wenye taaluma mbalimbali ikiwemo kada za sociology na psychology mtawalia . Nachotaka kufahamu hususan katika zama hizi za utandawazi na mitandao ,je kwa kupitia komenti na replies zozote mtandaoni anazozitoa mtu eidha kuchangia mada au kumjibu mtu je inawezekana kumsoma tabia yake au personality yake kwa kuisoma tu ile replies au komenti aliyoitoa?
Natanguliza shukurani za dhati kwa majibu yenu.

Karibuni
Unamaanisha kama kujua humu Jf wote wana magari amah?
 
Wana jf natumai hamjambo wote huku mkiendelea kulijenga taifa kwa namna moja ama nyingine .

Moja kwa moja kwenye mada .

Najua huku kuna watu wenye taaluma mbalimbali ikiwemo kada za sociology na psychology mtawalia . Nachotaka kufahamu hususan katika zama hizi za utandawazi na mitandao ,je kwa kupitia komenti na replies zozote mtandaoni anazozitoa mtu eidha kuchangia mada au kumjibu mtu je inawezekana kumsoma tabia yake au personality yake kwa kuisoma tu ile replies au komenti aliyoitoa?
Natanguliza shukurani za dhati kwa majibu yenu.

Karibuni
Unamwelea zaidi kuzidi hata mtu unayeishi naye nyumbani kwenu. Mara nyingi watu wanakuwa wazi zaidi kwenye mtandao kuliko walivyo kwenye maisha ya uhalisia ya kila siku
 
Swali zuri sana.....kama carter alivyoeleza hapo juu....
mcTobby tafiti nyingi zinafanywa kwa kukusanya comments mitandaoni ili kuvumbua aina za watu na afya zao za akili....
Tukiachana na hapa JF ambako wengi wetu tuna tumia fake IDs...
Mitandao mingine inayotumia IDs za kweli na matumizi ya picha...ni rahisi zaidi kumsoma mtu...
 
Swali zuri sana.....kama carter alivyoeleza hapo juu....
mcTobby tafiti nyingi zinafanywa kwa kukusanya comments mitandaoni ili kuvumbua aina za watu na afya zao za akili....
Tukiachana na hapa JF ambako wengi wetu tuna tumia fake IDs...
Mitandao mingine inayotumia IDs za kweli na matumizi ya picha...ni rahisi zaidi kumsoma mtu...
Mimi binafsi nimekuelewa.
 
Back
Top Bottom