Kwa ufaulu huo hata ukipelekwa UD, tegemea ku disco njiani...maana nauliza tuuu nategemea kuomba chuo kikuu mwaka huu., sasa kulingana na ufaulu wangu CSEE DIV,.1(16) , ACSEE 3(15) plus FOUNDATION mwaka huu HAPO HAPO OPEN
Omba tu, sifa unazo ikiwa FOUNDATION ulifanya poa. Omba competition isikutoe mbio.maana nauliza tuuu nategemea kuomba chuo kikuu mwaka huu., sasa kulingana na ufaulu wangu CSEE DIV,.1(16) , ACSEE 3(15) plus FOUNDATION mwaka huu HAPO HAPO OPEN
Ya ngoswe mwachie ngoswe.....habari wakuu kama uzi unavyosema , mfano ukachaguliwa OPEN UNIVERSITY then transfer inawezekana kweli ???? ,
Ufaulu wa kidato cha sita sio kigezo cha moja kwa moja kinachotanabaisha umahiri katika elimu ya juu... Mfano mzuri kuna watu waliwahi kufanya vibaya kidato cha sita na wakasoma UDSM hapo hapo kupitia kigezo cha mature age entry na wakatusua mfano mzuri ni Benard Membe ni zao la UDSM ila form 6 hakufanya vizuri(alipata daraja la 3m, James Rugemarila ni zao la UDSM pia form 6 hakufanya vizuri... Lakini pia wapo waliofanya vizuri kwa kupata daraja la kwanza form 6 wakaenda UDSM wakaliwa vichwaKwa ufaulu huo hata ukipelekwa UD, tegemea ku disco njiani...
Kama una mambo ya faundation udsm sahaumaana nauliza tuuu nategemea kuomba chuo kikuu mwaka huu., sasa kulingana na ufaulu wangu CSEE DIV,.1(16) , ACSEE 3(15) plus FOUNDATION mwaka huu HAPO HAPO OPEN
habari wakuu kama uzi unavyosema , mfano ukachaguliwa OPEN UNIVERSITY then transfer inawezekana kweli ???? ,
Chief nenda moja kwa moja UDSM ofisi ya usajiri uliza kwa vigezo vyao unaqualify kuwa admitted pale wakikujibu yes omba then omba pia na huko OU selections zikitoka chagua pa kwendamaana nauliza tuuu nategemea kuomba chuo kikuu mwaka huu., sasa kulingana na ufaulu wangu CSEE DIV,.1(16) , ACSEE 3(15) plus FOUNDATION mwaka huu HAPO HAPO OPEN
habari wakuu kama uzi unavyosema , mfano ukachaguliwa OPEN UNIVERSITY then transfer inawezekana kweli ???? ,
Kwa ufaulu huo hata ukipelekwa UD, tegemea ku disco njiani...
Acha kudanganya watu,kupata one advance siyo kwamba ndo unaakili saana Inawezekana mtu alipanic tu wakati wa mtihani , nina mshikaji wangu alipata one ya 4 mimi ya 8, alidisco udsm first year wengine waleee hadi joho.......alichanganyikiwa baada ya disco saizi anapiga komoni mitaa ya Uyole pale.Kwa ufaulu huo hata ukipelekwa UD, tegemea ku disco njiani...
Acha kudanganya watu,kupata one advance siyo kwamba ndo unaakili saana Inawezekana mtu alipanic tu wakati wa mtihani nina mshikaji wangu alipata one ya 4 mimi ya 8, alidisco udsm first year wengine waleee hadi joho.......alichanganyikiwa baada ya disco saizi anapiga komoni mitaa ya Uyole pale.
Mkuu sio ajabu we pambana tu,ukiwa na lengo utafanikiwa
Besti wishezi
Mkuu Chuo ni tofauti kabisa na huko secondary,hakuna chatz one wala three ya mwisho,tena aliyefanya vibaya advance huwa anakuwa na hasira sana,sasa wewe na liwani lako la 3 unarelax nakujiona jiniasi🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaah