Hivi inawezekana eh? Ni kweli

RayB

JF-Expert Member
Nov 27, 2009
2,752
196
Nimeona kwenye blog ya kaka yetu hii bio yake ikisomeka hivi, hivi ni kweli hapo kwenye BOLD


ben.jpg


Nawaletea na kuwajulisha matukio mbalimbali yanayoendelea katika anga mbalimbali za Kijamii, burudani na Michezo! Naitwa Ben Kinyaiya, naishi LONDON UK kwasasa ila Dar es salaam Tanzania ndio Home nikifanya kazi Television ya Taifa TBC1 kama Presenter and Producer, pia ni MC mzuri kwa shughuli na Sherehe mbalimbali, na kwa maoni yoyote au mawasiliano ya kikazi nichec kwa hapa Tanzania +255 655 705 055 na kwa UK +447760586338 au kwa email: bennytanzania@yahoo.com
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom