Hivi inakuwaje wadada wengi mnachagua wanaume lakini mnakesha kuomba mume mwema?

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,181
3,547
Kuna mdada nimekutana hivi karibuni katika pitapita zangu za hapa na pale lakini wakati nikiwa napiga nae story alinieleza kuwa amekuwa akiomba sana apate mume mwema katika maisha yake.

Lakini ilipofika swala la mwanaume yeye akaniambia anatafuta mwanaume anayendana nae lakini pia mwanaume ambaye amejipanga maisha ana uwezo angalau lakini sio ili mradi mwanaume.

Sasa kitu nilichojiuliza hivi inakuwaje wadada wengi mnaomba mpate mume mwema lakini huwa mnachagua mwanaume kulingana na kipato?
 
Anamaanisha mume mwenye kipato cha uhakika, mapenzi ya dhati na hofu ya Mungu. Inahitaji jicho la tatu kumuelewa mwanamke. Inasemekana mwanamke huongea kitu ambacho bado anakifikiria. huenda hata hakijui hicho anachoongea.
 
what-women-want-in-a-man-funny.jpg
 
Huwa wanachoongea ni tofauti na wanachofikiri,
hivi viumbe kuvielewa huhitaji akili nyingi
wewe fata nyuma tu kila anachosema sema
yesi,
Muda anataka kusema na kujidai yupo serious wewe ndiyo unaondoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom