Hivi inakuwaje unayempenda hakupendi, usiyempenda anakupenda?

Naamini kwa kuwa wana JF ni ma great thinkers watanisaidia kwa hili,

Yamenikuta mimi to be open.

Hivi unawezaje kumudu hii hali??Unakuta jamani unaempenda hakupendi kama wewe unavyompenda(yaani % sawa) na vilevile ambaye humpendi ndo kwanza anakusumbua.

Mimi hili swali naulizaga mara nyingi bila majibu yenye kufumbua my MEDULA OBLANGATA
Inakua poah
 
Ni kweli kwani hata mie najiulizaga sana juu ya hili ila nina moyo wa ujasili tu.….mwanamke nisiyemtaka akinijia simvumilii, namwambia kabisa ili ajijuwe where I stand juu yake. Kwa kweli inakera sana, utakuta wakati mwingine lijanajike limejichubua na kunuka harufu za hajabu mwilini huku limevaa mavuzi ya wengine (wig) kichwani anakuja kwako huku akijichekesha. Yaani basi tu, nyie wanawake hamjuwi tu tunavyochukia mikorogo yenu na hayo mavuzi yenu ya kichwani.
ma nini ya kichwani!!!!
 
Naamini kwa kuwa wana JF ni ma great thinkers watanisaidia kwa hili,

Yamenikuta mimi to be open.

Hivi unawezaje kumudu hii hali??Unakuta jamani unaempenda hakupendi kama wewe unavyompenda(yaani % sawa) na vilevile ambaye humpendi ndo kwanza anakusumbua.

Mimi hili swali naulizaga mara nyingi bila majibu yenye kufumbua my MEDULA OBLANGATA
tapatalk_1500052813566.jpeg
 
haha hata sikumbuki mada ilihusu nn, je nimekukera kukujibu hivo?
hapana my dear, hujanikera hata kidogo

jst for fun tu nimeona kaburi limefukuliwa nikaona msg yako nikacheka
I wanted na wewe ukumbuke ucheke..uzuri wangu sio mwepesi wa hasira hata kidogo

I have decided to choose positive side of life so wakati wote mie nina amani na in case ikipotea kwa muda sitaruhusu iende kwa muda mrefu.

usijali rafiki yangu mzuri msg haina ubaya kabisa
 
hapana my dear, hujanikera hata kidogo

jst for fun tu nimeona kaburi limefukuliwa nikaona msg yako nikacheka
I wanted na wewe ukumbuke ucheke..uzuri wangu sio mwepesi wa hasira hata kidogo

I have decided to choose positive side of life so wakati wote mie nina amani na in case ikipotea kwa muda sitaruhusu iende kwa muda mrefu.

usijali rafiki yangu mzuri msg haina ubaya kabisa
nimefrah kusikia hivyo, mana wajua sisi binadam hatujakamilika waweza mkwaza mtu hata usijue umemkwaza

Nimefrah hukukwazika wallah
 
nimefrah kusikia hivyo, mana wajua sisi binadam hatujakamilika waweza mkwaza mtu hata usijue umemkwaza

Nimefrah hukukwazika wallah
usijali kabisa, mimi hadi unikwaze umefanya kazi kubwa sana.

I don't keep stress with me at all, I love enjoying life
 
Ni kwamba hakupendi kabisa au anakupa upendo wa mafungu? Hakuna kitu kinauma kaMa kupenda usipopendwa halafu ukute mapenzi yalianza vizuri halafu ghafla tu love inayeya
 
Back
Top Bottom