Inakua poahNaamini kwa kuwa wana JF ni ma great thinkers watanisaidia kwa hili,
Yamenikuta mimi to be open.
Hivi unawezaje kumudu hii hali??Unakuta jamani unaempenda hakupendi kama wewe unavyompenda(yaani % sawa) na vilevile ambaye humpendi ndo kwanza anakusumbua.
Mimi hili swali naulizaga mara nyingi bila majibu yenye kufumbua my MEDULA OBLANGATA
ma nini ya kichwani!!!!Ni kweli kwani hata mie najiulizaga sana juu ya hili ila nina moyo wa ujasili tu.….mwanamke nisiyemtaka akinijia simvumilii, namwambia kabisa ili ajijuwe where I stand juu yake. Kwa kweli inakera sana, utakuta wakati mwingine lijanajike limejichubua na kunuka harufu za hajabu mwilini huku limevaa mavuzi ya wengine (wig) kichwani anakuja kwako huku akijichekesha. Yaani basi tu, nyie wanawake hamjuwi tu tunavyochukia mikorogo yenu na hayo mavuzi yenu ya kichwani.
haha hata sikumbuki mada ilihusu nn, je nimekukera kukujibu hivo?kumbe ulinitupia dongo kubwa hivi my dear enzi hizo?
thanks though
teh teh
Siku zikiisha Mkuu ???tafuta hela watakuja wenyew
Naamini kwa kuwa wana JF ni ma great thinkers watanisaidia kwa hili,
Yamenikuta mimi to be open.
Hivi unawezaje kumudu hii hali??Unakuta jamani unaempenda hakupendi kama wewe unavyompenda(yaani % sawa) na vilevile ambaye humpendi ndo kwanza anakusumbua.
Mimi hili swali naulizaga mara nyingi bila majibu yenye kufumbua my MEDULA OBLANGATA
hapana my dear, hujanikera hata kidogohaha hata sikumbuki mada ilihusu nn, je nimekukera kukujibu hivo?
nimefrah kusikia hivyo, mana wajua sisi binadam hatujakamilika waweza mkwaza mtu hata usijue umemkwazahapana my dear, hujanikera hata kidogo
jst for fun tu nimeona kaburi limefukuliwa nikaona msg yako nikacheka
I wanted na wewe ukumbuke ucheke..uzuri wangu sio mwepesi wa hasira hata kidogo
I have decided to choose positive side of life so wakati wote mie nina amani na in case ikipotea kwa muda sitaruhusu iende kwa muda mrefu.
usijali rafiki yangu mzuri msg haina ubaya kabisa
usijali kabisa, mimi hadi unikwaze umefanya kazi kubwa sana.nimefrah kusikia hivyo, mana wajua sisi binadam hatujakamilika waweza mkwaza mtu hata usijue umemkwaza
Nimefrah hukukwazika wallah
Mmh Maneno mengine bwana yanatisha kama nini.