Spa Africa
Member
- Mar 8, 2018
- 24
- 57
Juzi kati nilikuwa kituo kimoja cha Polisi(jina nalihifadhi),nilienda kufuatilia kesi ya ugomvi kati ya binamu yangu na mkewe,huyu binamu yangu alikuwa amempiga mkewe kwa kuchelewa kurudi nyumbani,lakini utetezi wa mkewe ni kwamba alichelewa sababu ya foleni,na kwa kweli shemeji yangu alikuwa amekula kichapo cha maana sana,kiasi mjumbe wa mtaa ilibidi aipeleke ile kesi polisi ili na yeye ajivue lawama.Sasa katika kfika pale polisi,huyu shemeji yangu alitaka mambo yaishe tu,maana "wamesameheana",ila hawa polisi wakawa wanakomaa na mwanaume(binamu yangu).
Pale polisi kumbe sijui kuna dawati la Wanawake,sasa wale polisi wa kike wanakomaa na jamaa,kuwa hata kama kasemehewa,lakini wao lazima wamshikishe adabu.
Sasa tukiwa hapo polisi,ikaja kesi nyingine,hii ni ya mdada mmoja kaletwa na ndugu zake,amepigwa sana na mumewe na wanadai mumewe kamtengenezea fumanizi feki halafu kamkodia mabaunsa wamempiga na kumlawiti.Na kweli yule dada kapigwa haswaa,anaonekana ni binti mdogo hivi around 25-30.
Katika kusikiliza maongezi ya polisi,inaonekana huyo mwanamke kapigwa sana na mumewe na kwa maelezo ya mwanamke ni kuwa jamaa alikuwa kamchoka,anamfanyia vitimbi lakini haondoki,akaamua kutengeneza kama fumanini,halafu akakodisha mijamaa ikamka tigo mdada huku akirekodiwa.
Sasa hebu wanasaikolojia wa mambo ya mapenzi watujuze,hivi kama mwanamke humpendi kwanini usimfukuze?Huyu mtu inakuwaje anatengeneza fumanizi feki na kufikia kumlawiti mkewe?Halafu sheria imekaaje kwa mume kukodi watu wamlawiti mkewe?Sikubahatika kumuona huyo jamaa mwenye kutenda huo unyama,ingawa jambo hili limenishangaza sana.
Sisi tuliozesha watoto wetu wa kike,ukisikia mtoto wako katendewa hivi na mumewe utafanya nini?Nimestaajabu sana sana.
Pale polisi kumbe sijui kuna dawati la Wanawake,sasa wale polisi wa kike wanakomaa na jamaa,kuwa hata kama kasemehewa,lakini wao lazima wamshikishe adabu.
Sasa tukiwa hapo polisi,ikaja kesi nyingine,hii ni ya mdada mmoja kaletwa na ndugu zake,amepigwa sana na mumewe na wanadai mumewe kamtengenezea fumanizi feki halafu kamkodia mabaunsa wamempiga na kumlawiti.Na kweli yule dada kapigwa haswaa,anaonekana ni binti mdogo hivi around 25-30.
Katika kusikiliza maongezi ya polisi,inaonekana huyo mwanamke kapigwa sana na mumewe na kwa maelezo ya mwanamke ni kuwa jamaa alikuwa kamchoka,anamfanyia vitimbi lakini haondoki,akaamua kutengeneza kama fumanini,halafu akakodisha mijamaa ikamka tigo mdada huku akirekodiwa.
Sasa hebu wanasaikolojia wa mambo ya mapenzi watujuze,hivi kama mwanamke humpendi kwanini usimfukuze?Huyu mtu inakuwaje anatengeneza fumanizi feki na kufikia kumlawiti mkewe?Halafu sheria imekaaje kwa mume kukodi watu wamlawiti mkewe?Sikubahatika kumuona huyo jamaa mwenye kutenda huo unyama,ingawa jambo hili limenishangaza sana.
Sisi tuliozesha watoto wetu wa kike,ukisikia mtoto wako katendewa hivi na mumewe utafanya nini?Nimestaajabu sana sana.