Bila jazba Wala povu, nauliza?
Nimeona Matangazo wenzetu Kenya wanasema wameuona Mwezi na Leo ni Idd ElFitri!
Huku kwetu tunaambiwa mwezi haujaandama?
Hii huwa inatokeaje, kijigrafia mbona tupo Ukanda mmoja, hili linawezekanaje?
Na wala si mara ya kwanza utata huu kuwepo?
Tatizo ni Nini!
Ni suala la kiamani, kisayansi au ni nini?
Wengine utawasikia wakilalama BAKWATA ni CCM kama ndivyo suala la kuandama mwezi liwe ni Siasa!
Kuna nini kimejificha?
Nimeona Matangazo wenzetu Kenya wanasema wameuona Mwezi na Leo ni Idd ElFitri!
Huku kwetu tunaambiwa mwezi haujaandama?
Hii huwa inatokeaje, kijigrafia mbona tupo Ukanda mmoja, hili linawezekanaje?
Na wala si mara ya kwanza utata huu kuwepo?
Tatizo ni Nini!
Ni suala la kiamani, kisayansi au ni nini?
Wengine utawasikia wakilalama BAKWATA ni CCM kama ndivyo suala la kuandama mwezi liwe ni Siasa!
Kuna nini kimejificha?