Mambembe
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 2,215
- 2,957
Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako? Kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana, huo ni uchafu, usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata.
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako? Kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana, huo ni uchafu, usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata.