Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inashangaza kwakweli ila usishangae sana, alisoma ili aje kuajiriwa na benki au kampuni flani, na akiajiriwa hapo basi ndoto yake imetimia na atakomesha watu mtaani hasa wasio na ajira.Hivi inakuwaje mtu kasoma business administration degree halafu hawezi fungua hata genge la kuuza nyanya a business adminstrate?
Genge la kuuza nyanya mtaji elfu 20
Hizo skili zake za business administration anataka akazionyeshee wapi?
Tuwekee mtaala wa hiyo diploma, ili tuweze kutoa maoni yaliyo sahihi.Hivi inakuwaje mtu kasoma business administration degree halafu hawezi fungua hata genge la kuuza nyanya a business adminstrate?
Genge la kuuza nyanya mtaji elfu 20
Hizo skili zake za business administration anataka akazionyeshee wapi?
Umeuliza swali ambalo hata me huwa najiuliza /inaonekana elimu yetu ni ya kwenye makaratsi tuHivi inakuwaje mtu kasoma business administration degree halafu hawezi fungua hata genge la kuuza nyanya a business adminstrate?
Genge la kuuza nyanya mtaji elfu 20
Hizo skili zake za business administration anataka akazionyeshee wapi?
Business Administration siyo somo la biashara japo marketing imo Ila watu wengi wasichoelewa kinachofundishwa ni utawala ile department ya utawala yaani managerial ya kusimamia decision making, ndo maana wanasomea BA Wana perform vizuri wanapokuwa kwenye position za management Kama finance manager, HRM, Marketing Manager na nyingine za management, ni Kama mtu aliyesomea chuo cha CBE Kuna course tofauti na siyo kwamba unasomea jinsi ya kufungua biashara Kama wengi wanavyodhani.
Haupo sahihi! Mbona Bill gates alianza na computer moja?Inashangaza sana, ila kama unasoma uje kuanzisha genge la nyanya la 20,000 bora usiende kusoma uanze mapema kuliko kupoteza muda.
Alianza na computer moja kivipi hebu nieleweshe maana sijakuelewa.Haupo sahihi!Mbona Bill gates alianza na computer moja?