mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,760
kwani kuna mtu alishawahi kukosea mahesabu au kuzidisha pesa kwa kutojua mnyama aliyepo kwenye noti ya elfu 10?Kwa hiyo finance Manager anayesimamia mikopo na marejesho hatakiwi kujua hata hela ya marejesho inafananaje?