Thaconfession
JF-Expert Member
- Jun 16, 2021
- 295
- 575
- Thread starter
- #21
Muulize Mshana Jr, au zero IQ, ni nguli haswa wa haya mambo!Mapenzi hayana unguli yalimshinda Adamu mwanadamu wa kwanza tutayaweza sie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize Mshana Jr, au zero IQ, ni nguli haswa wa haya mambo!Mapenzi hayana unguli yalimshinda Adamu mwanadamu wa kwanza tutayaweza sie.
Mama mzazi kabisaaaHuyo atakuwa mama wa kambo
Aisee...Amvumilie
Nini sasa au ndio mkeo analalamikaAisee...
Noooo hapo kwenye kuvumilia yaani, HAKUNA namnaNini sasa au ndio mkeo analalamika
Upo sahihi 100%67% ya WANAWAKE Ni wachawi
Amefanya vizuri wadau humu ndani tumejifunza kwamba kuna wanawake wa Hivi bila huu uzi nisingejua kama kuna mambo kama hayaHuna Siri mambo ya mwenzako ya familia yake kakutumia kwa utashi wake wew una yaanika huku ya Nini??? Kama Yuko humu unadhani anakuchukuliaje????
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Mama anunuliwe chupi mpya kisha akiijaribu akipendeza apigwe ukuni tu kutii kiu yake 😅😅😅Sio big deal Mama kutuma message kama hiyo.
Mama mtoto ametamani kuzawadiwa kitu ili aone anathaminiwa kwa kazi nzuri ya ulezi hapo nyumbani na kutunza nyumba sio kazi ndogo.
Kumbukeni akina Mama ndo huwa tunashinda na watoto muda mrefu nyumbani na tunajitahidi kubalance na kazi zingine.
Sasa basi, cha ajabu ni huyo rafiki yako shubaamit zake kukufowadia meseji aliyotumiwa na mke wake badala ya kusolve issues na wewe shubamit zako pia kwa kushindwa kumshauri kwamba ya ndoa yake abaki nayo mbona hayo madogo tu. Kenge nyie wawili.
duu!!hata pipiUna hakika ni mama mzazi wa huyo mtoto?
Ila vipi na mkewe huwa anapewa zawadi sometimes? maana zawadi hata ikiwa ni pipi tu ili mradi umepewa na umpendae ina umuhimu na maana sana. Ajitahidi
so unanishauri nioe nikiwa na miaka mingapi?Early marriages
Sasa je? Mambo si hayo?Mama anunuliwe chupi mpya kisha akiijaribu akipendeza apigwe ukuni tu kutii kiu yake 😅😅😅
Ndiyo ina maana kubwa sana mkuuduu!!hata pipi