Hivi inakuwaje mama anamuonea wivu mtoto wake?

Sio big deal Mama kutuma message kama hiyo.

Mama mtoto ametamani kuzawadiwa kitu ili aone anathaminiwa kwa kazi nzuri ya ulezi hapo nyumbani na kutunza nyumba sio kazi ndogo.

Kumbukeni akina Mama ndo huwa tunashinda na watoto muda mrefu nyumbani na tunajitahidi kubalance na kazi zingine.

Sasa basi, cha ajabu ni huyo rafiki yako shubaamit zake kukufowadia meseji aliyotumiwa na mke wake badala ya kusolve issues na wewe shubamit zako pia kwa kushindwa kumshauri kwamba ya ndoa yake abaki nayo mbona hayo madogo tu. Kenge nyie wawili.
 
Sio big deal Mama kutuma message kama hiyo.

Mama mtoto ametamani kuzawadiwa kitu ili aone anathaminiwa kwa kazi nzuri ya ulezi hapo nyumbani na kutunza nyumba sio kazi ndogo.

Kumbukeni akina Mama ndo huwa tunashinda na watoto muda mrefu nyumbani na tunajitahidi kubalance na kazi zingine.

Sasa basi, cha ajabu ni huyo rafiki yako shubaamit zake kukufowadia meseji aliyotumiwa na mke wake badala ya kusolve issues na wewe shubamit zako pia kwa kushindwa kumshauri kwamba ya ndoa yake abaki nayo mbona hayo madogo tu. Kenge nyie wawili.
Mama anunuliwe chupi mpya kisha akiijaribu akipendeza apigwe ukuni tu kutii kiu yake 😅😅😅
 
kuna ukakasi mwingi sana kwenye maneno ya huyo mama mtoto..

MOJA:
anajiita housegirl kwa kufanya kazi ya kulea mtoto wake. kazi ya kulea mtoto sio ya housegirl ni ya mama Mzazi. House girl anasaidia kama mama anatoka anaenda kazini.

PILI:
anataka apongezwe kwa kazi ya kulea mtoto, kitu ambacho ni cha ajabu sana. wewe unalea mtoto unataka zawadi. mimi ninaehangaika kutafuta hela ya pampas, unga wa mtoto, kulipia bima ya mtoto, kununua dawa, mbona siombi zawadi? mimi nani anatakiwa anipe zawadi? wewe pekee ndo una majukumu kwa huyo mtoto na mimi vyote ninavyofanya ni kazi bure na havina mashiko?

TATU:
akumbuke kila mtu kwenye familia ana wajibu wake na inabidi awajibike kwa kadiri ya uwezo wake.
baba analeta ugali mama analea watoto. yeye anamshukurugi mumewe kwa kuleta chakula kila siku? kwamba hakuna hata siku amelala njaa, ameshawahi kumshukuru mumewe kwa hilo?

Wanawake muangalie na mambo ya kunung'unikia vitu vingine ni wajibu wenu kuvifanya na havihitaji pongezi wala kupigiwa makofi.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom