Shekizongoro
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 388
- 153
Wanajamii naomba kueleweshwa; leo kati ya maofisa 208 waliohitim TMA 15 sio raia wa Tanzania, mfano watano ni waganda, wanyarwanda watatu n.k; Swali ni kwamba hawa si wataenda kuwatonya mafunzo ya maofisa yetu yalivyo? (strength & weakness), mbona wamekula kiapo kumtii raisi wetu? Itakuwaje tukiwa maadui nao ndo tushawafundisha? Naomba msaada nijue huwa inakuwaje hasa tnavyotrain majirani zetu.