Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Wanajamvi:
Hivi madudu yote haya ya CCM, aibu, ufisadi unaochukiza wananchi maana wauna majibu, kupingana na kunyukana wenyewe kwa wenyewe, kutokuwa na mawasiliano hata katika ngazi za juu kabisa, inakuwaje chama hicho kinaendelea kudunda hadi sasa?
Mimi naamini kabisa kinadunda kwa sababu ya nguvu za dola tu, na siyo kwa ridhaa ya wananchi. Kusema kweli wananchi wamechoka kabisa na yanayoondelea katika chama hicho na serikali yake?
Hivi madudu yote haya ya CCM, aibu, ufisadi unaochukiza wananchi maana wauna majibu, kupingana na kunyukana wenyewe kwa wenyewe, kutokuwa na mawasiliano hata katika ngazi za juu kabisa, inakuwaje chama hicho kinaendelea kudunda hadi sasa?
Mimi naamini kabisa kinadunda kwa sababu ya nguvu za dola tu, na siyo kwa ridhaa ya wananchi. Kusema kweli wananchi wamechoka kabisa na yanayoondelea katika chama hicho na serikali yake?