Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Nawashangaa sanaWrite your reply...hivi kwa nini wanawake mnapenda kukibania mnakua na uchungu nacho ?
Hapo ndo pagumu, najiulizaga sana na sijui wanatuwaziaga niniBurudani hatoi....Pesa anataka.
Haiwezekan kabisa Mkuu.
Nikikupa laki naondoka na K yako
Write your reply...hivi kwa nini wanawake mnapenda kukibania mnakua na uchungu nacho ?
Basi ni wachache sana wanaotoa burudani kabla hawajatumia pesa yako?Burudani
Heanding inatia uvivu kusomaKiukweli mimi kama mimi (sijui wenzangu), mimi sio m'bahili walanini, kama mwanamke usipokua m'bahili wa dhahabu yake hata mimi sitakua m'bahili kabisa, nitaitoa pesa bila kuionea huruma kabisa na nitainunua dhahabu kwa bei mbaya (ila iwe dhahabu safi isiwe makapi).
Ubahili wangu na wanaume wengi wetu tunaamua kua wabahili maana wanawake wenyewe wanatubania sana Ile burudani pendwa, sasa wewe burudani hutoi sasa mimi nitatoa pesa yanini???
Badilikeni pesa wanaume tunazo tatizo msitubanie Uhouse, Uhouse ni kitu ambacho ukimpa mwanaume to the maximum anaweza akakufanyia unachokitaka.
Sent using Jamii Forums mobile app